Aibu: Gazeti la mwanaspoti ladanganya mchana kweupe

Huyo jamaa unayetaka kumwelewesha ndio wale Eymael aliwaambia uneducated,wanabweka kama mbwa na ni manyani siku zote anapingana na ukweli.
 
Naona Mbumbumbu umejikakamua kuonesha uwezo wako wakuchambua mambo ahahahaaah!
 
Habari ndugu zangu natafuta kazi ya kupiga picha ,Uchambuzi wa mpira mawasiliano yangu 0714954609
 
Nawapeni pole sana wale Wote msiojua kuwa Mhariri wa Gazeti hili, Mwandishi na karibia 75% ya Waandishi na Watangazaji wa Michezo nchini Tanzania wapo katika Payroll ya Yanga SC hasa hasa kupitia kwa Injinia Hersi wa GSM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…