Aibu: Hadi majeneza tunaagiza kutoka nje!

Aibu: Hadi majeneza tunaagiza kutoka nje!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Inasikitisha miaka zaidi ya 60 ya Uhuru wa Tanganyika eti tunaagiza MAJENEZA China na Afrika Kusini?

download (3).jpeg
 
Hapo unadhani ananunua nini ? Kuwa comfortable au status ? Binafsi hizo luxurious hata wakinunua zote kutoka nje kama ni nafuu kwao au wauzaji wanafanya promo (kwamba ni mali ya South) Issue yangu kubwa ni mambo yenye impact kwa taifa zima mfano kwanini tunaagiza gesi ya kupikia wakati tunaweza kutumia umeme tunaozalisha ? Na impact ya sio vijisenti personal vya mtu bali ni matrilioni ya bajeti na kodi za mwananchi

 
Mimi nilishangaa kuona haya majembe yameingiza kutika china yanauzwa Ausha kwenye maduka ya Hardware ama kweli hivi sasa ni kipindi cha mabadiliko ya hali ya Hela
 
Mkuu majeneza si hata maseremala mtaani wanaunda..


Same applies to furniture zipo za ndani na za nje chaguo ni lako pesa ni yako
Subiri hata kidogo ili ujipe muda wa kutafakari basi kabla hujajibu kwa kasi ya mwewe! Hivi wewe huoni ni jambo very odd hili kutumia fedha za kigeni ku-import vitu kama hivi?
 
  • Thanks
Reactions: I M
Inasikitisha miaka zaidi ya 60 ya Uhuru wa Tanganyika eti tunaagiza MAJENEZA China na Afrika Kusini?
Jambo la msingi tujikite kwenye ubora unajua viwanda vingi vilianzishwa kwa njia ya kutoa hongo na vinajiendesha kwa njia ya kutoa hongo saa ngapi watatoa bidhaa nzuri huwezi kumlazimisha mfanyabiashara anunue bidhaa yako ambayo haina ubora
 
Huenda wanaona hapa nchini, hakuna ya hadhi yao. Wanaamua kuagiza nje... japo Kaburi halihitaji mbwembe...
 
Hayo majeneza ya kutoka nje ndio wanazikiwa wezi wa Mali ya umma. Wale untouchable wanaotajwa na CAG kila mwaka.
 
Inasikitisha miaka zaidi ya 60 ya Uhuru wa Tanganyika eti tunaagiza MAJENEZA China na Afrika Kusini?
Unashangaa hilo?
Mbona hata vijiti vya kuchokonolea meno au masikio (sticks) zilizotengenezwa kwa malighafi ya mianzi nayo tuna-import kutoka China.

Tunatakiwa kumulewa Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini Bw. Pieter W. Botha aliyesema kwamba "Black people are good for nothing apart from indulging in Sex and having so many wives."

Rais Botha amesema ukweli mchungu, tunapaswa kuumeza hivyo hivyo kama ulivyo, japokuwa ni mchungu.
 
Back
Top Bottom