Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nguo ulizovaa ni made in Tanzania?Ni aibu kuagiza majeneza kutoka nje; ni tofauti na fanicha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguo ulizovaa ni made in Tanzania?Ni aibu kuagiza majeneza kutoka nje; ni tofauti na fanicha
Justification ya kipuuzi. Nguo siyo jeneza.Nguo ulizovaa ni made in Tanzania?
Na jeneza sio nguoJustification ya kipuuzi. Nguo siyo jeneza.
Utakuta hayo ya china bei nafuu na yana ubora.Mbona nchini yanatengenezwa ya kutosha?
Kwa kuwa mnakamua wafu mavi waingie peponi wakiwa wakati? Si bora jeneza sasa.Apa ndio napoipenda dini ya kiislamu.
Hizi tamaduni tu, vip nyie hua mnaenda na majeneza uko peponi kwa mungu wako.Kwa kuwa mnakamua wafu mavi waingie peponi wakiwa wakati? Si bora jeneza sasa.
Kishahili fasaha vijiti vile vinaitwa VIMBAKA!Unashangazwa na kuagiza majeneza toka nje!! Mbona hata vile vijiti vya kutolea nyama kwenye meno, tunaagiza toka China!!