Aibu: Israel na ushahidi wa mchongo Gaza

Aibu: Israel na ushahidi wa mchongo Gaza

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ni aibu kubwa kwa taifa kama Israel kuwa waongo waongo hivi:

1. Hadi sasa wameshindwa kuthibitisha HAMAS kutumia vituo vya hospitali kwa vita.

==> Hapa wametengeneza hadi clips za manesi fake tokea kwenye ile kambi pendwa ya wale wasiojulikana.

2. Wamejielekeza kuonesha dunia kuwa watoto wao hufunzwa upendo ila wa kipalestina hufunzwa ugaidi.

===> Yote hiyo ili kuhalalisha kuuwa hadi njiti.

3. Kwamba kamba ya kuokota karibu na hospitali imekuwa ilifungwa mateka.

===> Hivyo hospitali ni command center ya HAMAS.

4. Bunduki mbili tatu za kubambikiza ki PT zimekuwa za kuhalalisha command center hospitalini.

5. Nk.

Waliowiva kifalsafa hawawezi kukubaliana na uhayawani huu, ila zile mbuzi mbuzi.

Big up sana Cyril Ramaphosa na Afrika kusini kwa kuwiva ki falsafa kwa hakika mnatutoa kimasomaso kwa kuliita koleo kwa jina lake.

Habari zaidi:
Gaza, mtoto mmoja anauawa kila baada ya dakika 10. Tangu Oktoba 7, 2023 Israel imeua zaidi ya watoto 4,000. Sasa, watoto wachanga katika Hospitali ya al-Shifa huko Gaza wanakufa kwa sababu taasisi hiyo haina umeme baada ya zaidi ya mwezi mmoja.

Israel inajua inakabiliwa na hatari ya kupoteza uungwaji mkono wa kimataifa kwa mauaji yake ya watoto. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau, ambao hadi sasa wamekuwa waaminifu katika kusaidia Israel, wameomba serikali ya Israeli kusitisha mauaji ya watoto.

Kama matokeo, propaganda na uongo ya Israel inatafuta njia mpya za kuhalalisha kuua watoto na kubomoa vituo vya matibabu.

Mnamo Novemba 11, akaunti rasmi ya Kiarabu inayosimamiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel ilichapisha video ya muuguzi, anayeonekana kuwa na wasiwasi, akizungumzia jinsi Hamas inavyoshambulia Hospitali ya al-Shifa na kuchukua mafuta yote na morfiini. Video hiyo, ambayo ilichezwa mara elfu, haikuwa video halisi.

Hakuna wafanyakazi katika eneo hilo wanaonekana kumtambua mtu aliyeonekana, wakitia shaka utambulisho wake na jukumu lake. Robert Mackey, mwandishi wa shirika la utafiti la Forensic Architecture, alizungumza na wafanyakazi watatu wa Madaktari Wasio na Mipaka wanaofanya kazi katika Hospitali ya al-Shifa, ambao hakuna hata mmoja wao aliyemtambua.

Muuguzi aliongea kwa lugha isiyo ya Kipalestina, na mazungumzo yake yalionekana kuakisi kikamilifu hoja za kijeshi za Israel juu ya Hamas kuiba mafuta yote kutoka hospitalini. Zaidi ya hayo, mahali mkakati wa kuweka nembo ya Wizara ya Afya ya Kipalestina ulikuwa jaribio lililopangwa la kudanganya.
 
Ni aibu kubwa kwa taifa kama Israel kuwa waongo waongo hivi:

1. Hadi sasa wameshindwa kuthibitisha HAMAS kutumia vituo vya hospitali kwa vita.

==> Hapa wametengeneza hadi clips za manesi fake tokea kwenye ile kambi pendwa ya wale wasiojulikana.

2. Wamejielekeza kuonesha dunia kuwa watoto wao hufunzwa upendo ila wa kipalestina hufunzwa ugaidi.

===> Yote hiyo ili kuhalalisha kuuwa hadi njiti.

3. Kwamba kamba ya kuokota karibu na hospitali imekuwa ilifungwa mateka.

===> Hivyo hospitali ni command center ya HAMAS.

4. Bunduki mbili tatu za kubambikiza ki PT zimekuwa za kuhalalisha command center hospitalini.

5. Nk.

Waliowiva kifalsafa hawawezi kukubaliana na uhayawani ila zile mbuzi mbuzi.

Big up sana Cyril Ramaphosa na Afrika kusini kwa kuwiva ki falsafa kwa hakika mnatutoa kimasomaso kwa kuliita koleo kwa jina lake.

Habari zaidi:

Fact or Fiction: Israel needs fake nurses to justify killing Gaza babies

Tafakari Charter ya Hamas:

Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)
 
FaizaFoxy ona hii ndugu ambayo MK254 angependa mno kuwa mjombae inavyojikanyaga:

Screenshot_20231117-132540~2.jpg


Kumbe ya command center yamepotelea wapi?
 
Kwani wewe ndo ulituma magaidi ya Hamas kwenda kuua na kuteka waisrael, basi tulia hivyo hivyo sindano iingie.

Kwani wewe ni kibaka tu kama mpora mali za wengine?
 
Tafakari Charter ya Hamas:

Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)

Haya unaambiwa na huyu ndugu?

Screenshot_20231117-132540~2.jpg
 
Hamas wanahurumiwa na dunia nzima lakini na wao wameshindwa kukanusha tuhuma za viongozi wao wa juu kujihusisha na ufisadi na kuitumia vita kama mtaji wa kutengeneza utajiri ambao haupo hapo Gaza.

Kwamba unadhani kipaumbele chao hapa ilikuwa wao kukanusha ufisadi? Isije kuwa unawaongelea CCM ndugu?
 
Ni aibu kubwa kwa taifa kama Israel kuwa waongo waongo hivi:

1. Hadi sasa wameshindwa kuthibitisha HAMAS kutumia vituo vya hospitali kwa vita.

==> Hapa wametengeneza hadi clips za manesi fake tokea kwenye ile kambi pendwa ya wale wasiojulikana.

2. Wamejielekeza kuonesha dunia kuwa watoto wao hufunzwa upendo ila wa kipalestina hufunzwa ugaidi.

===> Yote hiyo ili kuhalalisha kuuwa hadi njiti.

3. Kwamba kamba ya kuokota karibu na hospitali imekuwa ilifungwa mateka.

===> Hivyo hospitali ni command center ya HAMAS.

4. Bunduki mbili tatu za kubambikiza ki PT zimekuwa za kuhalalisha command center hospitalini.

5. Nk.

Waliowiva kifalsafa hawawezi kukubaliana na uhayawani ila zile mbuzi mbuzi.

Big up sana Cyril Ramaphosa na Afrika kusini kwa kuwiva ki falsafa kwa hakika mnatutoa kimasomaso kwa kuliita koleo kwa jina lake.

Habari zaidi:

Fact or Fiction: Israel needs fake nurses to justify killing Gaza babies
 
Duh yaani kumfukuza mvamizi ni kosa? Yaani tulivyomfukuza Idd Amin pale Kagera ilikua kosa?
Tangu lini Israel ikawa eneo la wapalestina, nchi yenyewe inaitwa Israel halafu imilikiwe na wapalestina......ni sawasawa na kusema Tanganyika isimilikiwe na watanganyika bali imilikiwe na wakenya......don't you see the logic?
 
Tangu lini Israel ikawa eneo la wapalestina, nchi yenyewe inaitwa Israel halafu imilikiwe na wapalestina......ni sawasawa na kusema Tanganyika isimilikiwe na watanganyika bali imilikiwe na wakenya......don't you see the logic?

Hata ziwa Nyasa linaiwa ziwa Malawi hivyo lote ni Malawi. Upoyoyo kazi.
 
Ni aibu kubwa kwa taifa kama Israel kuwa waongo waongo hivi:

1. Hadi sasa wameshindwa kuthibitisha HAMAS kutumia vituo vya hospitali kwa vita.

==> Hapa wametengeneza hadi clips za manesi fake tokea kwenye ile kambi pendwa ya wale wasiojulikana.

2. Wamejielekeza kuonesha dunia kuwa watoto wao hufunzwa upendo ila wa kipalestina hufunzwa ugaidi.

===> Yote hiyo ili kuhalalisha kuuwa hadi njiti.

3. Kwamba kamba ya kuokota karibu na hospitali imekuwa ilifungwa mateka.

===> Hivyo hospitali ni command center ya HAMAS.

4. Bunduki mbili tatu za kubambikiza ki PT zimekuwa za kuhalalisha command center hospitalini.

5. Nk.

Waliowiva kifalsafa hawawezi kukubaliana na uhayawani ila zile mbuzi mbuzi.

Big up sana Cyril Ramaphosa na Afrika kusini kwa kuwiva ki falsafa kwa hakika mnatutoa kimasomaso kwa kuliita koleo kwa jina lake.

Habari zaidi:
Gaza, mtoto mmoja anauawa kila baada ya dakika 10. Tangu Oktoba 7, 2023 Israel imeua zaidi ya watoto 4,000. Sasa, watoto wachanga katika Hospitali ya al-Shifa huko Gaza wanakufa kwa sababu taasisi hiyo haina umeme baada ya zaidi ya mwezi mmoja.

Israel inajua inakabiliwa na hatari ya kupoteza uungwaji mkono wa kimataifa kwa mauaji yake ya watoto. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau, ambao hadi sasa wamekuwa waaminifu katika kusaidia Israel, wameomba serikali ya Israeli kusitisha mauaji ya watoto.

Kama matokeo, propaganda na uongo ya Israel inatafuta njia mpya za kuhalalisha kuua watoto na kubomoa vituo vya matibabu.

Mnamo Novemba 11, akaunti rasmi ya Kiarabu inayosimamiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel ilichapisha video ya muuguzi, anayeonekana kuwa na wasiwasi, akizungumzia jinsi Hamas inavyoshambulia Hospitali ya al-Shifa na kuchukua mafuta yote na morfiini. Video hiyo, ambayo ilichezwa mara elfu, haikuwa video halisi.

Hakuna wafanyakazi katika eneo hilo wanaonekana kumtambua mtu aliyeonekana, wakitia shaka utambulisho wake na jukumu lake. Robert Mackey, mwandishi wa shirika la utafiti la Forensic Architecture, alizungumza na wafanyakazi watatu wa Madaktari Wasio na Mipaka wanaofanya kazi katika Hospitali ya al-Shifa, ambao hakuna hata mmoja wao aliyemtambua.

Muuguzi aliongea kwa lugha isiyo ya Kipalestina, na mazungumzo yake yalionekana kuakisi kikamilifu hoja za kijeshi za Israel juu ya Hamas kuiba mafuta yote kutoka hospitalini. Zaidi ya hayo, mahali mkakati wa kuweka nembo ya Wizara ya Afya ya Kipalestina ulikuwa jaribio lililopangwa la kudanganya.
Wewe ulitaka wakute nini kule hospital ndio uamini Hamas walikuwepo pale

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom