kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Vumilieni ,siku mtashuhudia profesa mmoja akitumwa kuandika kitabu chenye hasi na chanya kiutendaji akikaribia kufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakula hakuna usibishe vigogo walioko kwenye mfumo wanatuambia ww ninani unakata hiyo data mzee.Hizo data zimepikwa na maadui wa taifa letu
Mkono mrefu wa kuteka, kutesa na kuua???!Tusipende kuitukana Serkali ina mkono mrefu
Tuwe tunaandika vitu vya ukweli
Ni balaa, nasema huyu bwana atameza matapishi yake, subiriniNi hatari sana kuuingiza Ugali (mahindi) kwenye soko huria aisee ni hatari...ni hatari kubwa!!
Yaani ugali ndiyo kila kitu...
This is kindly advice ya kiutu uzima zaid.sio zile unazoandikagaTusipende kuitukana Serkali ina mkono mrefu
Tuwe tunaandika vitu vya ukweli
NFRA ilikuwa Ni price stabilizer, Bei ya nafaka ikishuka Sana wananunua mazao nakuyahifadhi, yakipanda Bei sana wanayauza kwa Bei nafuu, Sasa hii ya kukausha kihenge ndio kwanza naonahii awamu ya tano kwa nini haipendi hata kujza ghala la taifa wao kwetu kumpiga kikwete vijembe na kujifanya wamefanya maajabu kumbe ni in a negative way.angalia akiba ilivyoporomoka TOKA TANI 452,000 MWEZI MARCH 2015 HADI 78,000 MARCH 2019,KWA NINI HANUNUNI VYAKULA NA KUJAZA MAGHALA,WANA PLAN GANI HAWA WATU?😡😕🙁
Ingia website ya BOT ujionee, unafikiri jiwe ni mjinga alivyosalimu amri na kusema wakulima wajipangie bei?Hizo data zimepikwa na maadui wa taifa letu
Unafahamu maana ya "kukataa" ?Chakula hakuna usibishe vigogo walioko kwenye mfumo wanatuambia ww ninani unakata hiyo data mzee.
Koma kutisha watu.Who are you?Wote tunaishi na kufa.Serikali inaundwa na watu,siyo miungu.Tusipende kuitukana Serkali ina mkono mrefu
Tuwe tunaandika vitu vya ukweli