njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ni muhimu sana kitengo chetu cha graphics kiwe very careful katika propaganda za kuwafurahisha wanachama na mashabiki wetu kwani katika kundi la wajinga wwalio wengi kuna wajanja wachache wana o notice vitu vidooogo kama vile FONTS zilizotumika...kwenye picha ya okrah weupe haujatolewa vizuri
Ila mechi ilikuwa ngumu sana kwa simba sakho alicheza kama unavyoona kwenye picha ingawa alikuwa Rabat na kawasili kambini leo ila alicheza
ZINGATIA FONTS (TAARIFA KWA UMMA.....FULL TIME.....12-0.......)*******
Ila mechi ilikuwa ngumu sana kwa simba sakho alicheza kama unavyoona kwenye picha ingawa alikuwa Rabat na kawasili kambini leo ila alicheza
ZINGATIA FONTS (TAARIFA KWA UMMA.....FULL TIME.....12-0.......)*******