Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
- Thread starter
- #61
Haina uhusiano mkuu. Hawa mabondia sio fani yao, Mwakinyo kama ajifue zaidi. Mjue kuwa kutiliwa shaka ni faida kwa Mwakinyo kuliko kulewa sifa. Joshua pia alikuwa hivyo pambano la kwanza dhidi ya Ruiz ndipo akapigwa. Kifupi Mwakinyo awe tayari kukubali challenge na kujifunza kujibu kwa vitendo.Na hii ndiyo watanzania wajue Hassan Mwakinyo kuweza kuhimili raundi kumi na kuibuka mshindi siyo swala jepesi, tusipende kubeza jitihada za watanzania wenzetu!
Kuhimili kweli alihimili lakini matokeo ndio yanayotiliwa shaka