Aibu kuu kwa nchi yangu Tanzania huko Saudi Arabia: Bondia apigwa kipigo cha mbwa koko

Na hii ndiyo watanzania wajue Hassan Mwakinyo kuweza kuhimili raundi kumi na kuibuka mshindi siyo swala jepesi, tusipende kubeza jitihada za watanzania wenzetu!
Haina uhusiano mkuu. Hawa mabondia sio fani yao, Mwakinyo kama ajifue zaidi. Mjue kuwa kutiliwa shaka ni faida kwa Mwakinyo kuliko kulewa sifa. Joshua pia alikuwa hivyo pambano la kwanza dhidi ya Ruiz ndipo akapigwa. Kifupi Mwakinyo awe tayari kukubali challenge na kujifunza kujibu kwa vitendo.

Kuhimili kweli alihimili lakini matokeo ndio yanayotiliwa shaka
 
Bondia wa Tanzania alipigwa ngumi nzito ambayo ilimfanya apoteze fahamu na kuletewa mitungi ya hewa ya oxygen. [emoji23][emoji23]
 
Kama alitapika dagaa basi atakuwa wa kanda ya ziwa... Maana kama angekuwa muha basi asinge kubali kirahisi...
 
Ubaya wa kichwa huwa hakina mazoezi kwa waliowahi ona mapambano ya Mike Iron Tyson na mabondia kama, Clifford Etienne,Bruce Seldom na wengine wengi, hawastajabu sana bondia yoyote kuchapwa mapema
 
Wapambe wa kusifia kila zuri hutajwa likifuatiwa na 'serikali ya tano chini ya mh..' , mbona sijaona hili liitwalo la aibu likihusiswa nao? Au ni wapinzani wamehusika?
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Huyo bondia Selemani Said baada ya kuamkaa alianza kutafuta mawe maana konde alilopigwa lilikuwa zito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…