Nimesikia wale ni mashamba boy wa nyumba za waarabu huko Saudi Arabia.Wakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu.
Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?
Nani kahusika na hujuma hii?
Hao watu nawaonaga ronyoronyo sana
Yule sijui wamemuokota Buza kwa mparange!!? yaani jitu halina record ya maana mnalipeleka kwenye ubingwa wa dunia pambano la utangulizi na yule mmexico undefeated kweli!! eti Bondia anaitwa Selemani Saidi ! eboh! mngepokea sanduku airport! Shubamiti!! yaani round ya kwanza dk 1.35 mtu chaliii, na walahi angenyanyuka tu angekufa.Wakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu.
Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?
Nani kahusika na hujuma hii?
Nimecheka kama mazuri aiseh jamaa hata kuweka guard tu hajui kibaya kuna mda alikuwa anarusha ngumi za mtaani [emoji23][emoji23] [emoji23]
Huyu jamaa sijui walimtoa wapi. Anyway me mwenyewe sijawahi pigana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimecheka kama mazuri aiseh jamaa hata kuweka guard tu hajui kibaya kuna mda alikuwa anarusha ngumi za mtaani [emoji23][emoji23] [emoji23]
Mkuu huyu jamaa sidhani kama hata ndugu zake watampokea airport [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu huyu jamaa sidhani kama hata ndugu zake watampokea airport [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni hujuma tu unapelekaje mabondia km hao
Bondia wa Tanzania aitwa Seleman Said, amepewa kipigo cha paka mwizi raundi ya kwanza kwa knock out kutoka kwa bondia wa Marekani.
Shindalo ili ni shindano la utangulizi kabla la shindano kati ya la Joshua na Ruiz ambalo linafanyika leo hii. Bondia wa Tanzania alipigwa ngumi nzito ambayo ilimfanya apoteze fahamu na kuletewa mitungi ya hewa ya oxygen.
Baada ya kupata nguvu na kusimama refa aliamua kumaliza mchezo huo na kumpa ushindi bondia kutoka marekani. Mchezo unaofatia ni wa Joshua na Ruiz. Pia katika mshindano haya ya leo kuna bondia wa Tanzania mwingine kwa jina anaitwa Mohamed Swedi nae alipigwa kwa knock out bila msaada wa refa tungesikia mengine.
Hahhah!Ugomvi wao ulianzia wapi hadi wakapigana namna hiyo?
[emoji23][emoji23] wangepokea nini mkuu? ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule sijui wamemuokota Buza kwa mparange!!? yaani jitu halina record ya maana mnalipeleka kwenye ubingwa wa dunia pambano la utangulizi na yule mmexico undefeated kweli!! eti Bondia anaitwa Selemani Saidi ! eboh! mngepokea sanduku airport! Shubamiti!! yaani round ya kwanza dk 1.35 mtu chaliii, na walahi angenyanyuka tu angekufa.