Aibu kuu: Mamlaka husika imuwajibishe Faiza kwa kuvunja maadili


Hajazalilisha mtu, unaongea na kutapika hivi wakati wewe nawe wawezekani ni worse kuliko yeye! kwa ukweli mimi nimemuheshimu sana na kumpandisha chati zaidi ya kingine hakuna.
 
Kwani mtu kuonesha chupi unayovaa Ni kujidhalilisha ?
 
Waswahili tuna tabu sana. Wewe maisha ya Faiza yanakuhusu nini? of all things...hicho ndo unaweza kukifikiria???

Fikiria ni namna gani unaweza kuongeza tija kwenye maisha yako. Hayo ya Faiza mwachie Faiza. Hayakuhusu!
hahahahaha perfect answer.
 


Povuuuuu utakuwa Lemutuz imekuuma Mange kuanika kibamia chako jana
 
Hizo clip anaeleze jinsi mapenzi yalivyomuumiza kiasi kwamba hakuona umhim wa kuvaa chupi nzuri,alijiona ni mwanamke asiye na thamani kisa kuachwa na ampendae[emoji2]

Hapo ndo nilipoamini sugu kiboko,sijui alimpaga n huyu dada manaake hamsahau
Hahahhaha inaonekana muheshiwa sugu ni mtibwa sukari kwa faiza aisehh si mchezooooo hahahhaha!
 
Kuna Mbunge mmoja mwanamama aliwahi kumtetea huyu bungeni hata sikumbuki alikuwa chama gani vile!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…