njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hii siyo yanga ninayoijua, kuwa upande wa mwenye mapesa siyo kigezo cha kuweza uongozi, yanga ni ngangari tangu enzi hizo siyo watu wa mchezomchezo muulize Iman madega na wenzake waliowahi kuvamiwa nyumbani kwao, watu shakula bakora sanaa pale jangwani
Sasa jana afisa mkubwa wa klabu aliyewaletea ubingwa baada ya miaka 4 anafungiwa kiuonevu kabisa nyie mnatoa statement ya kiutopolo iliyolegea kama mlenda?
*Morale ya wanayanga nchini kote ipo juu kupigania haki ya mwenzao kindakindaki anayeipenda yanga toka moyoni yaani Hajj manara
*Wachezaji na benchi la ufundi wako tayari kupigania haki hiyo,mbona mwakalebela aliwahi kufikiria kuihamishia team zanzibar nyie mnashindwa nini?
CHA KUFANYA SASA
* Simamisheni shughuli zote za club, kuanzia kesho wachezaji na benchi la ufundi waende pale karume na mabango kushinikiza msemaji bora kabisa aliyesababisha ligi ya bongo kuingiza teams 4 afrika aachiliwe huru
* Kuwe na maaandamano non stop ya mashabiki wa yanga kufunga mitaa ya msimbazi,kariakoo hadi karume hakuna shughuli ya kiuchumi kufanyika hadi mwanayanga kindakindaki manara aachiwe
* Anzeni plans za kuhamia ligi ya zanzibar
Halafu Arafat umekuwaje kumbuka ulikuwaga mtu wa misimamo sana kama ulivyosikitika soka la bongo kumkumbatia chizi morrison mbona kimya tena?
Sasa jana afisa mkubwa wa klabu aliyewaletea ubingwa baada ya miaka 4 anafungiwa kiuonevu kabisa nyie mnatoa statement ya kiutopolo iliyolegea kama mlenda?
*Morale ya wanayanga nchini kote ipo juu kupigania haki ya mwenzao kindakindaki anayeipenda yanga toka moyoni yaani Hajj manara
*Wachezaji na benchi la ufundi wako tayari kupigania haki hiyo,mbona mwakalebela aliwahi kufikiria kuihamishia team zanzibar nyie mnashindwa nini?
CHA KUFANYA SASA
* Simamisheni shughuli zote za club, kuanzia kesho wachezaji na benchi la ufundi waende pale karume na mabango kushinikiza msemaji bora kabisa aliyesababisha ligi ya bongo kuingiza teams 4 afrika aachiliwe huru
* Kuwe na maaandamano non stop ya mashabiki wa yanga kufunga mitaa ya msimbazi,kariakoo hadi karume hakuna shughuli ya kiuchumi kufanyika hadi mwanayanga kindakindaki manara aachiwe
* Anzeni plans za kuhamia ligi ya zanzibar
Halafu Arafat umekuwaje kumbuka ulikuwaga mtu wa misimamo sana kama ulivyosikitika soka la bongo kumkumbatia chizi morrison mbona kimya tena?