Kim Jo Ngil
Member
- Jan 3, 2014
- 45
- 17
Babu Tale anajulikana kama meneja wa Diamond ambaye kwa sasa yuko juu kwa kasi.
Hapo kwenye shoo mtwara meneja wake anaingia nae ukumbini huku kavaa kanda mbili.
Hivi ni sawa kweli kwa meneja? TUnachukulia mambo kawaida sana.
Meneja unapaswa kuwa na standard man. kwenye ishu kama hizo ndipo unatengeneza contact sasa wewe na mindala
Imeekaaje hii wana jf?
Hapo kwenye shoo mtwara meneja wake anaingia nae ukumbini huku kavaa kanda mbili.
Hivi ni sawa kweli kwa meneja? TUnachukulia mambo kawaida sana.
Meneja unapaswa kuwa na standard man. kwenye ishu kama hizo ndipo unatengeneza contact sasa wewe na mindala
Imeekaaje hii wana jf?