Akili za mikia fupi sana, umekubali kwamba mnapuliziaga dawa,
Yanga tunacheza mpira na wachezaji, hatuchezi mpira na waliolewa hizo dawa zenu legs lege.
VUA CHUPI KAA PEMBENI
Mbona povu tena, Kanywe glasi ya maji uvue chupi ukae pembeniSikuwahi kufikiria kuwa Vyura hawana Akili kwa kiwango hichi!!!!
Yani anatokea Boya mmoja anapost Video bubu kwa ajili ya Upotoshaji basi Mivyura yote yanakurupuka kuamini bila hata ya kuhoji uhalali wa Video hiyo.
Zoeyeni kuzitoa sauti Video ili mufiche ukweli halisi wa Video hiyo na kilichokuwa kinafanyika
πππ hata tukifungwa tutacheza shirikisho (Confederations Cup)π€£π€£Kwa hiyo hii Clip ndio itawasaidia kumzuia Kamusoko kule Zambia?