Leo umetoa uzi wenye akili kwa kiwango fulani, hapo ndiyo tunatakiwa kuwa na katiba mpyaHivi post Election Comments walikua wamelipwa Au? Mbona Kasoro ziko wazi hata Mfuasi wa Mbowe anaweza Kuziona Kabisa pasipo hata kuambiwa na Lissu?
Waangalizi wanavyokuja waje na Timu makini Siyo Kufuatilia Vituo kadhaa tuu na Ku comment kuwa Uchaguzi ulikua Fair and Free.
Hivi zile Post Election Comments walikua wamelipwa Au? Mbona Kasoro ziko wazi hata Mfuasi wa Mbowe anaweza Kuziona Kabisa pasipo hata kuambiwa na Mungu wa Chadema (Lissu)?.
Mkuu waangalizi wa kimataifa wanakujaga na bajeti finyuu mnoo..that's why hukoment hivyooHivi zile Post Election Comments walikua wamelipwa Au? Mbona Kasoro ziko wazi hata Mfuasi wa Mbowe anaweza Kuziona Kabisa pasipo hata kuambiwa na Mungu wa Chadema (Lissu)?
Waangalizi wanavyokuja waje na Timu makini Siyo Kufuatilia Vituo kadhaa tuu na Ku comment kuwa Uchaguzi ulikua Fair and Free.
Leo umetoa uzi wenye akili kwa kiwango fulani, hapo ndiyo tunatakiwa kuwa na katiba mpya
Aliyekwambia kuna siku Raila atatangazwa ni Rais wa Kenya nani....hiyo ni mipango ilishapangwa maalum na wazungu 1)kuepusha vurugu kenya 2)kuwatengeneza kisaikolojia wananchi wa Ea jinsi demokrasi ilivyo ili waidai ktk nchi zao...mwisho wa picha hili Uhuru ndo rais maana ndo bepari kama wao na hata uchaguzi wote wataugharamia wao wenyewe wazungu...kuling'amua hili lazima uwe mtazamo wa mbali sana...hata kesi aliyopewaga uhuru ilikuwa ni program maalum na lengo maalum[emoji3] [emoji3]Hivi zile Post Election Comments walikua wamelipwa Au? Mbona Kasoro ziko wazi hata Mfuasi wa Mbowe anaweza Kuziona Kabisa pasipo hata kuambiwa na Mungu wa Chadema (Lissu)?
Waangalizi wanavyokuja waje na Timu makini Siyo Kufuatilia Vituo kadhaa tuu na Ku comment kuwa Uchaguzi ulikua Fair and Free.
Lo!Hivi zile Post Election Comments walikua wamelipwa Au? Mbona Kasoro ziko wazi hata Mfuasi wa Mbowe anaweza Kuziona Kabisa pasipo hata kuambiwa na Mungu wa Chadema (Lissu)?
Waangalizi wanavyokuja waje na Timu makini Siyo Kufuatilia Vituo kadhaa tuu na Ku comment kuwa Uchaguzi ulikua Fair and Free.
Kwani Kulikua na Vurugu mbona Kenya Ilikua imetulia.Aliyekwambia kuna siku Raila atatangazwa ni Rais wa Kenya nani....hiyo ni mipango ilishapangwa maalum na wazungu 1)kuepusha vurugu kenya 2)kuwatengeneza kisaikolojia wananchi wa Ea jinsi demokrasi ilivyo ili waidai ktk nchi zao...mwisho wa picha hili Uhuru ndo rais maana ndo bepari kama wao na hata uchaguzi wote wataugharamia wao wenyewe wazungu...kuling'amua hili lazima uwe mtazamo wa mbali sana...hata kesi aliyopewaga uhuru ilikuwa ni program maalum na lengo maalum[emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
dont be too hard on the election observers...they are foreign ppl and were not in a position to say that the elections were a fraud....they just wanted peace...siwalaumu mimi...ila next time wasitoe observers toka Marekni...hawa watu huwa hawapendi development ya Afrika...ata afadhali walete wachina...
Pamoja na kuchapia lakini Point muhimu imeeleweka .Maccm Wa pili wewe Leo nakupa like .ccm watu wanaanza kupata fahamu nini au ndio umnatoka taratibu !!?? [emoji106] [emoji106] [emoji106]Hivi zile Post Election Comments walikua wamelipwa Au? Mbona Kasoro ziko wazi hata Mfuasi wa Mbowe anaweza Kuziona Kabisa pasipo hata kuambiwa na Mungu wa Chadema (Lissu)?
Waangalizi wanavyokuja waje na Timu makini Siyo Kufuatilia Vituo kadhaa tuu na Ku comment kuwa Uchaguzi ulikua Fair and Free.
Ataa Africa walikuwapo tena ndio Wa hovyio eti wanaongozwa na marais maditector wastaafudont be too hard on the election observers...they are foreign ppl and were not in a position to say that the elections were a fraud....they just wanted peace...siwalaumu mimi...ila next time wasitoe observers toka Marekni...hawa watu huwa hawapendi development ya Afrika...ata afadhali walete wachina...