Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
Hivi zile Post Election Comments walikua wamelipwa Au? Mbona Kasoro ziko wazi hata Mfuasi wa Mbowe anaweza Kuziona Kabisa pasipo hata kuambiwa na Mungu wa Chadema (Lissu)?
Waangalizi wanavyokuja waje na Timu makini Siyo Kufuatilia Vituo kadhaa tuu na Ku comment kuwa Uchaguzi ulikua Fair and Free.
Waangalizi wanavyokuja waje na Timu makini Siyo Kufuatilia Vituo kadhaa tuu na Ku comment kuwa Uchaguzi ulikua Fair and Free.