Kwa historia ya wababe hawa wawili wa mpira Tanzania yaani Simba na Yanga haijawai kutokea wala kufikirika Kwa Kocha kufukuza na wala ukosefu wa Amani klabuni iwapo Timu ikipoteza mechi na Timu ndogo Kama Tabora United.
Tumezoea songombingo iwapo mmoja kapoteza kwa pacha wake, lakini ili la Gamondi, yaani hawa Yanga kweli wenye akili ni wawili tu
Tumezoea songombingo iwapo mmoja kapoteza kwa pacha wake, lakini ili la Gamondi, yaani hawa Yanga kweli wenye akili ni wawili tu