We kedrick ni haki yao teamkiba kufanya hivyo si ndo mtv wameelekeza sasa watag daimond wakati jina lake lipo tayari ila wizkid hapana kwa kweli
Za kawaida hizo tuzo mpaka wizkid hayupo sasa kiba kutokuwepo kuna tatizo gani
Alikiba ana strong fan base kubwa sanaaa,
Za kawaida hizo tuzo mpaka wizkid hayupo sasa kiba kutokuwepo kuna tatizo gani
Hivi kwa nini mnapoteza muda wenu kumjibu mpuuzi ambaye akilala anawaza tuu kiba ata feli lini.Alikiba ana strong fan base kubwa sanaaa,
Hivi kwa nini mnapoteza muda wenu kumjibu mpuuzi ambaye akilala anawaza tuu kiba ata feli lini.
Achanene naye bhana.
Ukijibizana na mjinga na nyie mtakuwa wajinga
Atafeli marangapi tena? kwani we unamyona kwenye ramani hata mtv hawamjui???? hahahahahaha
Na propaganda za kusema collable zinambeba chibu wakati hta wakina flavour, iyanya, k cee wote hawapo level aliyomo chibu, hakuna hta mmoja aliopo kwenye Mtv ema...
Tukutane Milan, Italia siku ya utoaji tuzo oyooooo