Nadhani alipitiwa tu, ila alitaka kumaanisha Tanzania, kwasababu Tanzania ndio inashikilia namba 7 Afrika kwa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda katika " World Peace Index 2019". Tanzania ipo nafasi ya 54 duniani na 7 Africa.Kwa mujibu wa list ipi mkuu? Ako kadada kame jitajia tu nchi zake, na kame anza kwa kusema in no particular order.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda katika " World Peace Index 2019". Tanzania ipo nafasi ya 54 duniani na 7 Africa.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ
Buda,Nani anaeza tamani kuwa mwananchi wa LDC??Wakenya wengi hawaipendi kenya yao ila hawa wa jf wanajifanya wabishi
You can't eat GDP πππ
Sasa inakuwaje unachukua picha za ldc uki-pretend kuwa ni kenyaBuda,Nani anaeza tamani kuwa mwananchi wa LDC??
Wamegundua kwamba Jubilee ilikua inawadanganyaYou can't eat GDP [emoji23][emoji23][emoji23]
Na venye siku hizi sisikii kelele za GDP humu.
πππ