Aibu na comedy za siasa Tanzania: CCM watumia vifaa vya tume ya uchaguzi

Aibu na comedy za siasa Tanzania: CCM watumia vifaa vya tume ya uchaguzi

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
NAAAM ,mambo ni bam bam inafurahisha sana eti kusikia Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofata katiba na kuizingatia kwelikweli, kudadeeeeki ukigeuka huku unakuta video za wana ccm wakihimiza umwagaji damu, ukigeuka huku unakuta TCRA wanakaushia habari ya mwananchi yenye angle ileile iliyosababisha kwanza tv wakafungiwa

Kabla hujakaa sawa unakutana na mauzauza ya tume ya uchafuzi kuwapa ccm vifaa au tuseme huwa vinalala kwenye store za ccm, shaaaaaa jamani, tukubaliane tu kwamba nchi hii imekuwa comedy bana, tusibishane na hapo kuna watu wanaitawala waliapa kwa kushika kurani na biblia au hivi vitabu vya uongo? mbona hakuna masaibu yanayowakuta kwa kuapa na vitabu vya dini na KUFANYA MAKOROKOCHO NA DHAMBI KIBAOOOOOOO?


tume.JPG
 
CCM ya sasa wazee wenye ushauri wenye tija wanapuuzwa.

Wamempeleka mngula likizo na kumrudisha msomali!!!!!

Wanapuyanga tu😠😠😠😠😠

Ujinga ni wakati wa kwenda tu, na Si wakati wa kurudi.

Kama hamtarudisha SANDUKU la Kura mahala pake Kwa kuruhusu upatikanaji wa KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi,

Hapatakuwa na uchaguzi wowote.

Ameeeeen.
 
NAAAM ,mambo ni bam bam inafurahisha sana eti kusikia Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofata katiba na kuizingatia kwelikweli, kudadeeeeki ukigeuka huku unakuta video za wana ccm wakihimiza umwagaji damu, ukigeuka huku unakuta TCRA wanakaushia habari ya mwananchi yenye angle ileile iliyosababisha kwanza tv wakafungiwa

Kabla hujakaa sawa unakutana na mauzauza ya tume ya uchafuzi kuwapa ccm vifaa au tuseme huwa vinalala kwenye store za ccm, shaaaaaa jamani, tukubaliane tu kwamba nchi hii imekuwa comedy bana, tusibishane na hapo kuna watu wanaitawala waliapa kwa kushika kurani na biblia au hivi vitabu vya uongo? mbona hakuna masaibu yanayowakuta kwa kuapa na vitabu vya dini na KUFANYA MAKOROKOCHO NA DHAMBI KIBAOOOOOOO?


Mbona hii post inataja 2020 na sio 2025

Na alisema "CHADEMA tutakuwa viumbe vya ajabu wa ajabu sana kama tutakwenda uchaguzi wa 2020,tukashiriki na tume hii"

Ajabu ni 2020 walishiriki na tume hii hii je unatudanganya kwa faida ya nani.
 
Back
Top Bottom