Aibu na fedheha sijui ntajificha wapi

Duhh! Kumbe? Surely una kazi, lakini kwa mahakama zetu za kitz hapo itonekana huna kosa!
 
Mhudumu wa ndege akikuchekea na kukuegemea, sio kwamba amekupenda, yupo kikazi zaidi.
 
Mi nilidhani anahitaji ndo mana akanifuata chumbani

hayo yalikuwa mawazo yako tu na tamaa zako kwani kuja chumbani kulizungumza nataka nini lo tena na hapa unapotafuta nyumba usije tena utaanza haya kwani mama mwenyenyumba nae anamazoea hayu na wewe usiyejua kuangalia kwa mtazamo utajikuta unatimuliwa na kodi ukaiacha tafuta kazi pengine hapo ushaweka historia ya ngono
 
ungemmega kusingekuwa na kesi hapo.... mkuu unaonekana hujawahi kucheza game za hatari; hapo ungepenyeza kitu bila kumvua, akishtuka anajikuta mambo yameshaharibika

Hilo haliwezekani ndugu Uume wa mtu kama trekta ukiwa unaingia una vurugu zake kha utafikili umebarehe juzi?
 
akileta upuuzi wa namna hiyi mi nafanye kweli, huwa sipendi mizaha ya namna hiyo
 
Ulishikwa na Mfadhaiko Ukipelekwa Mahakamani Kosa lako Unaweza Fungwa Miaka kama 30 hivi Sio Mingi sana kwani utakuwa ushafikisha umri wa Kustaafu na utakuta mafao yako yameshachanua...
 

mh wanaume u need to change,msiwaze kuvua ch,, zenu kila wkt guys,,sio ishu wala nn
 

Hapana. Dada yangu nitamwacha.
 
Pole sana best japokuwa umefanya kosa mwombe msamaha ikishindikana kama vp hama hata mji aibu utaipeka wapi
 
Huyo mzungu nae hakujua kama hii ni bongo
 
kumega hujamega alafu kazi ufykuzwe!! pole sana-ila andaa mazingira kwa kuanza kutafuta kazi nyingine
 
Next time usiruhusu mazoea ya kupitiliza na mtu usiyemjua vizuri, pole sana.
 
Na wewe nae umefanya makosa, kwanini umngoje kalala? huo ni ubakaji! hata ikiwa ni mkeo.
 
Ngumu lakini inachezeka na uwezekano wa kushinda upo
 

sikuonei huruma

ulichekea nyani sasa unayavuna mabua.... you didnt draw a line, and you didnt make your intention clear....
 
Na wewe nae umefanya makosa, kwanini umngoje kalala? huo ni ubakaji! hata ikiwa ni mkeo.

very true, hata kama ni mkeo, kuna consent fulani lazima iwepo... sio unarukia tu mbunye kama daladala
 
Ktk Bible kuna pahala panasema..."Lakini kila mtu hujaribiwa na tamaa zake mwenyewe, na kudanganywa!
Tamaa ikichukua mimba huzaa dhambi, na dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti..."
haya maneno haya,,mazuri kweli kumuambia mtu,,,usiombe ukutane nayo wakatu unahitaji faraja,,yanaua kabisaaa,,ni wakati gani yatumike,,,kwenye kufundisha na kujenga au wakatiwa kuhukumu kubomoa na kulaani,,,ndugu,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…