Aibu na hatufanani Nandy na shetta

Aibu na hatufanani Nandy na shetta

Umeonaee inaonekana aliielewa sana hyo tag,alafu hawa maprojuza siwaskii skuizi,pamoja na akina cool n dre,street runners,dj toomp,danja beats,play n skills na wengineo waliotamba zama za 2000-2010.By the way umeskia beat la bangladesh kwenye wimbo wa TI ft meek mill kwenye hii album mpya ya TI,bonge la instrumental.
Bangladesh nilimwelewa kwenye
Amilli ya lil wayne
Diva by beyonce
Lemonade by gucci mane
6foot 7 foot by lil wayne
Forever by 8ball & mjg
Tag yake ndo naielewaga kuliko zooote. Bangladeshhhh...
 
Bangladesh nilimwelewa kwenye
Amilli ya lil wayne
Diva by beyonce
Lemonade by gucci mane
6foot 7 foot by lil wayne
Forever by 8ball & mjg
Tag yake ndo naielewaga kuliko zooote. Bangladeshhhh...
Hahaha tag ya kibabe sana ile mi mwenyewe naielewa,ila mwenyewe ukimwona hafananii na hyo tag wala midundo mizito ya beats zake,unaweza ukadhani ni producer wa gospel.
 
Kuimba ni kipaji, huwezi kujifunza kama kuendesha baiskeli.
Kuimba sio kipaji...Mond alifukuzwa THT hajui na Harmonize alifukuzwa Bongo star search...sasa imebakia history...Muziki ni taaluma unaweza kujifunza
 
Kuimba sio kipaji...Mond alifukuzwa THT hajui na Harmonize alifukuzwa Bongo star search...sasa imebakia history...Muziki ni taaluma unaweza kujifunza


Sasa kama unaniambia Diamond hana kipaji cha kuimba, bora niishie hapa.
 
Sasa kama unaniambia Diamond hana kipaji cha kuimba, bora niishie hapa.
Q chilla
Tid
Baraka
Nature
Kassim mganga
Jide
Dully
Rama dee
Barnaba
Saida karoli
Ditto
Belle 9
Diamond anamzidi nani hapo juu kwa kipaji cha kuimba. Nitajie
 
Q chilla
Tid
Baraka
Nature
Kassim mganga
Jide
Dully
Rama dee
Barnaba
Saida karoli
Ditto
Belle 9
Diamond anamzidi nani hapo juu kwa kipaji cha kuimba. Nitajie
Hata siku moja mnaweza mkawa mia,lkn kwa level ya kipaji msifanane,lakini haibadilishi kwamba jamaa anakipaji.Alafu kama huna kipaji alafu hujitumi ,usitegemee kipaji chako kukubeba.Mf Ronaldo ana kipaji lakini cha kawaida ila jamaa anajituma sana,mwisho wa siku amewapita mpaka wale wenye vipaji kuliyo yeye.

Ndio Diamond ,yeye ana kipaji (hii haibadiliki) lkn si cha kutisha,ila dogo anajituma na anajua anataka nini (hii ndio siri ya mafanikio kwa binadam yoyote).Mungu mwenyewe alisema kama amekupa talanta na hujaifanyia kazi (hujajituma katika kuitumia ile talanta) basi atakunyang'anya na atampa yule anayejituma.

12353996_994088980648778_1680997415_n.jpg


Hata hapa TZ Mbwana Samata ana talent lakini huwezi kumlinganisha na mtu kama Lunyamila (Mpaka NONDA kakiri alicheza Monaco na walikuwepo wote yanga),Boban,Chuji hawa jamaa wana vipaji vikubwa mno ila hawakujitambua,walikuwa wavivu wa mazoezi ,ila alichowapita Samata moja anajituma sana na anajua anataka nini na ana nidhamu ya kazi na ndicho kitu anacho Diamond.
 
Umeenda mbali kote huko...atujaongelea mafanikio mzee. Tumezungumzia kpaji km kipaji ok! Diamond + management iliyo siriaz=apo alipo sasa hivi. Kujituma bila management nzuri hufiki popote na ndo mana kwa wenzetu mbele kila cku utaskia msanii katoka lebo hii kahamia ile lakin yote ni kutaka usimamiz mzuri wa kaz zake. Ivo tu
Hata siku moja mnaweza mkawa mia,lkn kwa level ya kipaji msifanane,lakini haibadilishi kwamba jamaa anakipaji.Alafu kama huna kipaji alafu hujitumi ,usitegemee kipaji chako kukubeba.Mf Ronaldo ana kipaji lakini cha kawaida ila jamaa anajituma sana,mwisho wa siku amewapita mpaka wale wenye vipaji kuliyo yeye.

Ndio Diamond ,yeye ana kipaji (hii haibadiliki) lkn si cha kutisha,ila dogo anajituma na anajua anataka nini (hii ndio siri ya mafanikio kwa binadam yoyote).Mungu mwenyewe alisema kama amekupa talanta na hujaifanyia kazi (hujajituma katika kuitumia ile talanta) basi atakunyang'anya na atampa yule anayejituma.

View attachment 953078
 
Umeenda mbali kote huko...atujaongelea mafanikio mzee. Tumezungumzia kpaji km kipaji ok! Diamond + management iliyo siriaz=apo alipo sasa hivi. Kujituma bila management nzuri hufiki popote na ndo mana kwa wenzetu mbele kila cku utaskia msanii katoka lebo hii kahamia ile lakin yote ni kutaka usimamiz mzuri wa kaz zake. Ivo tu
Hujanielewa na jibu nimekupa hebu rudia nimekupa mfano wa Ronaldo nikakupa wa Samatta na wa Diamond mwenyewe,siku zote ukitaka ufeli katika maisha amini una akili au unakipaji alafu ukashahau kujituma.Mondi kipaji anacho lakini si cha kutisha ila anajituma sana tena sana na anajua anataka nini same as CR7.
 
Hujanielewa na jibu nimekupa hebu rudia nimekupa mfano wa Ronaldo nikakupa wa Samatta na wa Diamond mwenyewe,siku zote ukitaka ufeli katika maisha amini una akili au unakipaji alafu ukashahau kujituma.Mondi kipaji anacho lakini si cha kutisha ila anajituma sana tena sana na anajua anataka nini same as CR7.
Lakin kujituma bila kuwa na mtaji hufiki popote mkuu
Alikiba
Jux
Ben pol nk
Nazan wote hao wanataman kufika alipo diamond na wanaimba balaa lakin je nan atawasaidia kupush mziki wao hilo ndo tatzo
 
Lakin kujituma bila kuwa na mtaji hufiki popote mkuu
Alikiba
Jux
Ben pol nk
Nazan wote hao wanataman kufika alipo diamond na wanaimba balaa lakin je nan atawasaidia kupush mziki wao hilo ndo tatzo
Hapo sasa inabidi uwe karibu na Mondi akueleze yeye kafanyaje.Ila tatizo letu sisi vijana wa kibongo tunapenda kuwekaga beef na watu waliofanikiwa ,utasika "jamaa ana ringa sana mara hooo mshikaji ana dharau",hii ndio tabia yetu vijana wa TZ ,hatu pendi kuwa inspired na mafanikio ya vijana wenzetu tunapenda kujenga beef.
 
Hapo sasa inabidi uwe karibu na Mondi akueleze yeye kafanyaje.Ila tatizo letu sisi vija wa kibongo tunapenda kuwekaga beef na watu waliofanikiwa ,utasika "jamaa ana ringa sana mara hooo mshikaji ana dharau",hii ndio tabia yetu vijana wa TZ ,hatu pendi kuwa inspired na mafanikio ya vijana wenzetu tunapenda kujenga beef.
Q chilla aliwahi kusema diamond anamloga hahaaahaaa
 
Hatufananani mule ndani kila mtu kaitendeya haki nafasi yake ila Blue ni mbwa koko kwelikweli
 
Q chilla aliwahi kusema diamond anamloga hahaaahaaa
Umeona wakati yeye mwenyewe Teja.Mfano mimi msanii anayeniumaa mpaka kesho Belle 9,yaani jamaa namsikiliza yani sielewi anakoseaga wapi naweza kusema anakipaji kikubwa sana kuliko Mondi likini sijui anakosea wapi.
 
Blue bana eti haba na baba hujaza kibaba GUCCI naPRADA hadi mkiniona mseme SHIKAMOO BABAAA.
 
Back
Top Bottom