Aibu nyingine kwa Tanzania

Aibu nyingine kwa Tanzania

Nyie kila kitu tu mnatafuta makosa na kukosoa kihasi. Unasema kutabika kwa mkuu wa nchi si jambo la kuaibisha. Kikwete leo hii akienda Mexico na kwenye hafla wampe Taco ale halafu atapike mbele ya kamera na hilo mtalikosoa tu. Nyie kila kitu mnakosoa tu.

Mkuu NN,

siko kwenye kukosoa, lakini ni kuelimishana. Kutapika si aibu wala si udhaifu wa kufikiri ama akili! Na ndio maana wakati wa kukusanya "symptoms" wagonjwa huulizwa "unatapika?" Kama ni suala la aibu, basi wagonjwa wangelalamika Madaktari wana wadhalilisha!
 
Bora alivyokwepa maana kila ukiwepo mstari wa mbele kuzungumzia gonjwa hili basi ndio wanazidi kuipakazia nchi yako,pengine angezungumza basi siku ya piki ungesikia Tanzania inaongoza kwa wagonjwa wa hilo gonjwa ,maana wangeweza hata kusema si mmemwona makamo wao alivyokuwa anatetemeka wakati akiutubia pengine anao .
Hongera Dr.Shein kwa kukwepa kutuweka hazarani ,bora watuone hatuna viongozi,kwanaza suala hilo wa kulizungumzia ni Mawaziri wa Afya ilikuwaje apelekwe Raisi au Makamo wake,watabaki kupiga makelele lakini amefanya jambo la maana kukwepa kuzungumzia ,hapa tuna gonjwa la mafisadi ni bora pumzi zake akaziweka humu humu nchini.
 
Bora alivyokwepa maana kila ukiwepo mstari wa mbele kuzungumzia gonjwa hili basi ndio wanazidi kuipakazia nchi yako,pengine angezungumza basi siku ya piki ungesikia Tanzania inaongoza kwa wagonjwa wa hilo gonjwa ,maana wangeweza hata kusema si mmemwona makamo wao alivyokuwa anatetemeka wakati akiutubia pengine anao .
Hongera Dr.Shein kwa kukwepa kutuweka hazarani ,bora watuone hatuna viongozi,kwanaza suala hilo wa kulizungumzia ni Mawaziri wa Afya ilikuwaje apelekwe Raisi au Makamo wake,watabaki kupiga makelele lakini amefanya jambo la maana kukwepa kuzungumzia ,hapa tuna gonjwa la mafisadi ni bora pumzi zake akaziweka humu humu nchini.

Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak
 
Tunavuna tulichopanda, watu wanakwenda mkutanoni kupasha viti moto na kuongeza idadi ya sehemu walizotembelea kabla kibarua hakijaota nyasi! That what we get kwa uvivu wa kuchagua. Puuh maskini Tanzania, nchi inayoongoza kwa mambo ya ovyovyo ikiongozwa na Jemedari wetu JK.
 
Hivi tatizo liko wapi? kila nikisoma article halafu maoni ya watu nazidi kuchanganyikiwa,
Baada ya ikulu kuchelewa kujibu endapo JK atakwenda Mexico au la ilibidi waandalizi wa mkutano wamweke mtu mwingine
"We received no response from his (the president's) office, and had no choice but to include another speaker," said Ms Bennett.
[When the organizers found out that vice president Shain was attending, Ms Bennett said, it was not possible to include him in the programme since it was too late. ]

Naona watu kama wanamlaumu Dr. Shein kwa kutohutubia kwenye ufunguzi wa mkutano huo.
Sioni kwa nini ni aibu.
nielewesheni, maana nadhani kuna lililonipita.
 
Nyie kila kitu tu mnatafuta makosa na kukosoa kihasi. Unasema kutabika kwa mkuu wa nchi si jambo la kuaibisha. Kikwete leo hii akienda Mexico na kwenye hafla wampe Taco ale halafu atapike mbele ya kamera na hilo mtalikosoa tu. Nyie kila kitu mnakosoa tu.


Hii mijamaa na yenyewe ipo too vulnerable to criticism. Sasa wewe fikiria hata ku-confirm invitation on time ilishindwa, unategemea nini hapo?
 
Naona watu kama wanamlaumu Dr. Shein kwa kutohutubia kwenye ufunguzi wa mkutano huo.
Sioni kwa nini ni aibu.
nielewesheni, maana nadhani kuna lililonipita.

Aibu ni hiyo ya ofisi nzima ya Rais kushindwa ku-confirm invitation on time halafu bado akina Salva washindwe kugundua na kumuelesha boss wao kwamba haupi kwenye ratiba. Sasa mawaziri wote hao na makamu wa rais wameende mkuku wasijue kwamba hawana nafasi kwenye ratiba. Kama Shein angejua hana nafasi tena ya kutoa key speech yake asingeenda huko Mexico. Yote haya ni uzembe ambao haupaswi kufanywa na ofisi kubwa kama ya urais inayotoa sura ya nchi-na hapo ndipo aibu inapokuja, sio kwa serikali tu, bali kwetu sote kama nchi!

Mwanafunzi umeelewa sasa?
 
ofisi ya rais inaishi katika dimbwi kuu la ndoto! wanategemea mkutano mkubwa kama huo wasi comfirm kushiriki kwao wakute nafasi bado ipo wazi?

sio kuiabisha tanzania tu, nafikiri huyo shein ndio aliyeaibika zaidi baada ya kuambiwa hana nafasi tena ya khutubia
 
Nyie kila kitu tu mnatafuta makosa na kukosoa kihasi. Unasema kutabika kwa mkuu wa nchi si jambo la kuaibisha. Kikwete leo hii akienda Mexico na kwenye hafla wampe Taco ale halafu atapike mbele ya kamera na hilo mtalikosoa tu. Nyie kila kitu mnakosoa tu.

Usisahau pia wapo wanaosifia na kukosoa kila kitu, including uzembe huu wa kushindwa kuthibitisha tu kuwa tz itazungumza katika nafasi iliyopangiwa
 
Back
Top Bottom