JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Ifike hatua itoshe kusema Manchester United imekuwa ni mahali au kundi la watu /uongozi usiojua ni kina nani wanafurahi au kuhuzunika kwa matokeo ya namna yoyote aidha ushindi ,sarw au Kushindwa .Navumilia lakini inauma sana .Uwanja wa Old Trafford umekuwa mchungu kwa wenyeji Manchester United baada ya kukubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Bournemouth katika Premier League.
Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.
Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.
ama aibu ya mwakaUwanja wa Old Trafford umekuwa mchungu kwa wenyeji Manchester United baada ya kukubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Bournemouth katika Premier League.
Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.
Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.
πππππππraraa reree kumbe mmepigwa zauso??π€
Poleni sana
Huyu mtoa mada itakuwa mgeni na man u, yaani man u kupigwa inakua aibu, sasa hizo aibu si kila sikuManure united wameishazoea vipigo siyo geni hilo πππ
man utd anaweza kula mkono kwa yangaUwanja wa Old Trafford umekuwa mchungu kwa wenyeji Manchester United baada ya kukubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Bournemouth katika Premier League.
Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.
Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.
Eti anashangaa man united kufungwa πππHuyu mtoa mada itakuwa mgeni na man u, yaani man u kupigwa inakua aibu, sasa hizo aibu si kila siku