Aibu sana tajiri msomi kama Mengi kushindwa kuandaa succession plan ya utajiri wake. Bakhressa hana elimu ila ameweza

Aibu sana tajiri msomi kama Mengi kushindwa kuandaa succession plan ya utajiri wake. Bakhressa hana elimu ila ameweza

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau.

Nazani wote tunaona ona ugomvi wa mirathi wa familia ya mengi.

Mtu unapata utajiri wa zaidi ya bilion 500 ila unashindwa kuandaa waendelezaji wa mali hizo.

Mtu tajiri sana kama Mengi ila unaruhusu watoto wako wanakuwa wakubwa mpaka wanafika miaka 25 ama 30 bila kuoa hata kuolewa.. sasa 3rd generation ya kuendeleza mali watazaliwa lini? na watakuwa wakubwa lini? na watafundishwa biashara lini?

Matajiri wengi levo ya mengi wamefariki ila hatuoni wakipelekana mahakamani. Tena wengi wao wana watoto wengii na wake wengii kuliko mengi

Kafa tajiri wa Asas kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Ali mafuruki kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Zakaria mwenye kiwanda cha Korie kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa baba yao na gsm kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa somaiya sijui wa shivacom kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake.

Kafa Subhash Patel tajiri wa Motisun group. Viwanda kibaoo ila mirathi yake kimyaaa hatujasilia mgogoro wowote.

DINI YA KIKRISTO PIA INAPASWA IBADILIKE NA KUTUNGA MUONGOZO WA MIRATHI YA KIKRISTO. SHERIA YA MIRATHI YA KISERIKALI AMBAYO WAKRISTO WANALAZIMIKA KUITUMIA NI CHANZO CHA MIGOGORO MINGI.

MREMA KAFARIKI MGOGORO UMEANZA .

KAFARIKI BILIONEA MSUYA MGOGORO MPAKA MTU NA WIFI YAKE WAMECHINJANA

MAMA LWAKATARE KAFARIKI MGOGORO UMEANZA..

KILA ANAPOFARIKI TAJIRI MKRISTO TU SEKE SEKE LAZIMA ZIANZE SABABU KUBWA NI BIBLIA IMESAHAU KUWEKA MWONGOZO WA MIRATHI

matajiri wanaoishi maisha ya kimila.. kama bilionea laizer yule wanapofariki ni ngumu kusikia mgogoro maana sheria ya kimila inatumika ( hawatumii ya kiserikali).

Ila ukristo mke mmoja tu ila migogoro kibao
 
Habari wadau.

Nazani wote tunaona ona ugomvi wa mirathi wa familia ya mengi.

Mtu unapata utajiri wa zaidi ya bilion 500 ila unashindwa kuandaa waendelezaji wa mali hizo.

Mtu tajiri sana kama Mengi ila unaruhusu watoto wako wanakuwa wakubwa mpaka wanafika miaka 25 ama 30 bila kuoa hata kuolewa.. sasa 3rd generation ya kuendeleza mali watazaliwa lini? na watakuwa wakubwa lini? na watafundishwa biashara lini?

Matajiri wengi levo ya mengi wamefariki ila hatuoni wakipelekana mahakamani. Tena wengi wao wana watoto wengii na wake wengii kuliko mengi

Kafa tajiri wa Asas kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Ali mafuruki kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Zakaria mwenye kiwanda cha Korie kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa baba yao na gsm kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa somaiya sijui wa shivacom kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake.

DINI YA KIKRISTO PIA INAPASWA IBADILIKE NA KUTUNGA MUONGOZO WA MIRATHI YA KIKRISTO. SHERIA YA MIRATHI YA KISERIKALI AMBAYO WAKRISTO WANALAZIMIKA KUITUMIA NI CHANZO CHA MIGOGORO MINGI.

Matajiri ambao ni Waislamu wenzetu hawaitumii hiyo sheria ya kiserikali. Sababu wao wana muongozo umeandikwa kabisa katika quran yao.
Sheria ya Mirathi ya Kikristo ni ipi hiyo....? Nadhani tatizo sio dini mkuu...context yako naona ni finyu mno...mifano yako yote ni Tanzania tu.Ukipanua wigo wako hutafikia hitimisho hilo.
 
Sheria ya Mirathi ya Kikristo ni ipi hiyo....? Nadhani tatizo sio dini mkuu...context yako naona ni finyu mno...mifano yako yote ni Tanzania tu.Ukipanua wigo wako hutafikia hitimisho hilo.

Ukristo hauna sheria ya mirathi.. hivyo inatumika sheria ya mirathi ya kiserikali .
 
Marehemu Subhash Patel pamoja na kuwa na utitiri wa makampuni hatujasikia mgogoro inaenda miaka miwili sasa.

 
ACHA KUTUMIA UONGO KUTETEA DINI YAKO !!

Hakuna cha dini wala nini hapo,
Siri kubwa ya wahindi, waarabu, wasomali kutosikia wanagombania mali sio kwasababu ya dini ya kiislam, ni kwamba hawa wanaishi wote kwenye nyumba moja, wote wanakusanyika kwenye kaya moja, pesa inayowagharamia chakula, mavazi, elimu, matibabu, n.k inatoka kwenye biashara ya familia / ukoo, sio kama kina sisi iwe ni mwislam au mkristo kila mtu anataka aende kujenga kwake aanze kujitaftia kipato kivyake vyake na hata ule ukaribu wa familia na ndugu unaanza kupotea inakuwa sanasana ni kukutana kwenye misiba na kwenye harusi tu, Ndio hapo sasa hata Baba akifariki lazima kila mtu atake chake maana kila mtu yupo kivyake vyake na familia yake.

Pia tatizo la waafrika wengi tuna ushamba wa kuanza kuwaandaa watoto kwenye biashara wakifika miaka 25 huko tayari washakua wakubwa hawa, na hapo bado kuna vitu unaficha ficha humwambii kila kitu mtoto, waarabu ma wahindi wengi wanawazoesha watoto kwenye biashara tangu utotoni, wakifikia hata miaka 18 wanajua kila kitu kinachohusu biashara yao ya familia.

Tatizo ni mtindo wa maisha, sio dini.... Waislam kibao tu kwa kibongo wakifariki huwa kuna patashika kwenye mali, tena usiombee kama alikuwa na mke zaidi ya moja, mivutano huwa ni mizito sana ya muda mrefu.
 
Usikurupukie vitu usivyovijua kwa undani

Marehemu Mengi ni public figure, mke wake na mengi pia ni public figure.

Mengi ni mtu mwenye heshima zake na ana mchango mkubwa kwa taifa hili kuliko watu wengi... sasa why mirathi yake isiende kwa heshima bila kugombania mali.

Wanamletea aibu marehemu mpaka sisi maskini tunamuona alikosea malezi
 
Swala la kuoa au kuolewa mzazi hana sauti kama watoto ndiyo waligoma
Endelea tu kuwaza ,una mtoto mkubwa labda miaka 30 unataka kumkabidhi kampuni hakikisha ameoa kwanza apunguze mapepe ...Hilo swala nimeona watoto kibao wa wahindi na waarabu nilio soma nao lazima aoe kwanza ndo apewe majukumu mazito angalia mo dewji alioa mapema sana mpaka sasa binti yake ana miaka kama 20 yeye hata 50 hajafika
 
Marehemu Subhash Patel pamoja na kuwa na utitiri wa makampuni hatujasikia mgogoro inaenda miaka miwili sasa.

Hizi ngozi nyeusi tunakosea wapi? basi mi nadhani hatupendani maana hao wenzetu kukaa nyumba moja hata kama kila mtu na mkewe kwao kawaida tu .
 
Ukristo hauna sheria ya mirathi.. hivyo inatumika sheria ya mirathi kiserikali .
Ndio nimemjaribu kumueleza, dini ya Kikristo haina sheria ya mirathi, sina haja ya kufanunua hapa, Kwa Tanzania sheria za mirathi za serikali zinatumika, na nchi nyingine kama Marekani utaona matajiri wanafariki, sheria za nchi zinatumika labda zivunjwe, kuna familia ya Walton,wanaomiliki Walmart utajiri,mzee Walton alikufa zake kitambo, lakini Wal-Mart inazidi kukua kila leo.
 
Marehemu Mengi ni public figure, mke wake na mengi pia ni public figure.

Mengi ni mtu mwenye heshima zake na ana mchango mkubwa kwa taifa hili kuliko watu wengi... sasa why mirathi yake isiende kwa heshima bila kugombania mali.

Wanamletea aibu marehemu mpaka sisi maskini tunamuona alikosea malezi

Labda wewe, usiseme sisi maskini! Sema wewe maskini, na sijui unahangaika na kitu gani hapo ns ili upate faida gani! Wewe nenda kulima au kugonga kokoto, achana na mambo ya Mengi!
 
Habari wadau.

Nazani wote tunaona ona ugomvi wa mirathi wa familia ya mengi.

Mtu unapata utajiri wa zaidi ya bilion 500 ila unashindwa kuandaa waendelezaji wa mali hizo.

Mtu tajiri sana kama Mengi ila unaruhusu watoto wako wanakuwa wakubwa mpaka wanafika miaka 25 ama 30 bila kuoa hata kuolewa.. sasa 3rd generation ya kuendeleza mali watazaliwa lini? na watakuwa wakubwa lini? na watafundishwa biashara lini?

Matajiri wengi levo ya mengi wamefariki ila hatuoni wakipelekana mahakamani. Tena wengi wao wana watoto wengii na wake wengii kuliko mengi

Kafa tajiri wa Asas kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Ali mafuruki kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Zakaria mwenye kiwanda cha Korie kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa baba yao na gsm kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa somaiya sijui wa shivacom kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake.

Kafa Subhash Patel tajiri wa Motisun group. Viwanda kibaoo ila mirathi yake kimyaaa hatujasilia mgogoro wowote.

DINI YA KIKRISTO PIA INAPASWA IBADILIKE NA KUTUNGA MUONGOZO WA MIRATHI YA KIKRISTO. SHERIA YA MIRATHI YA KISERIKALI AMBAYO WAKRISTO WANALAZIMIKA KUITUMIA NI CHANZO CHA MIGOGORO MINGI.

MREMA KAFARIKI MGOGORO UMEANZA .

KAFARIKI BILIONEA MSUYA MGOGORO MPAKA MTU NA WIFI YAKE WAMECHINJANA

MAMA LWAKATARE KAFARIKI MGOGORO UMEANZA..

KILA ANAPOFARIKI TAJIRI MKRISTO TU SEKE SEKE LAZIMA ZIANZE SABABU KUBWA NI BIBLIA IMESAHAU KUWEKA MWONGOZO WA MIRATHI



Matajiri ambao ni Waislamu wenzetu hawaitumii hiyo sheria ya kiserikali. Sababu wao wana muongozo umeandikwa kabisa katika quran yao.

Pia hata matajiri wanaoishi maisha ya kimila.. kama bilionea laizer yule wanapofariki ni ngumu kusikia mgogoro maana sheria ya kimila inatumika
Kama unasema Biblia imesahau kuweka mfumo wa mirathi, vipi US na Europe yenye familia zenye matajiri wa enzi na enzi! Kina Bakharesa,Asas ni first generation, ni vigumu hata kwa mimi na wewe kuipima succession plan yao leo! Unawajua kina Koch family, Rockefeller list ni ndefu mno! Marekani na ulaya ina matajiri wako kizazi cha tano!
Watakaopima mafanikio unayoyasema sio mimi na wewe leo! Bado asubuhi mno! Wape miaka 100 ndio unaweza kuandika uliyoandika!
 
Nafikiri kwa hili si dini zaidi ni utamaduni hasa kati yetu na hao Wahindi na Waaarabu.
Kuna kesi nyingi sana za mirathi ya familia za Kiislam (kwa weusi), ukitaka hilo tembelea mahakama zilizopo Jiji la Dar es Salaam.

Hili la Mengi ni kielelezo cha tamaduni zetu. Bado hatujawa na utamaduni thabiti wa kuandika wosia na family business succession. Kiukweli kwa hili Mengi alionyesha kufeli na labda tunamsingizia tu, inawezekana alijitahidi kadri ya uwezo wake lakini ikashindikana. Nakumbuka kuna kiwanda mpaka alimuuzia Subhash Patel, biashara ya kiwanda cha sabuni nayo ilikuwa haifanyi vizuri hasa ukiangalia alikuwa mmoja wa industrialist wa mwanzo mwanzo mweusi.

Hili la kumuoa binti sina pingamizi nalo kabisa. Hivi hata kama wewe una umri wa Mzee Mengi halafu Mkristo, ungekubali maisha yaliyobaki Duniani ufe ukiwa mzinifu? Hata kuoa, ni nani miongoni mwetu angekuwa na miaka 70 halafu aoe kibibi cha miaka 60 (ili kuwafurahisha walimwengu) wakati mpunga wa kumtunza kigoli upo! Alaa
 
Back
Top Bottom