Aibu sana tajiri msomi kama Mengi kushindwa kuandaa succession plan ya utajiri wake. Bakhressa hana elimu ila ameweza

Aibu sana tajiri msomi kama Mengi kushindwa kuandaa succession plan ya utajiri wake. Bakhressa hana elimu ila ameweza

Hizi Sheria tuziitazo za Serikali au Common Laws ni Sheria za Wakristo (Sina hakika kama ni za Kikristo)
Kihistoria hizi ni Sheria tulizorithi toka kwa Mwingereza ambaye alitutawala, ambaye naye alizirithi toka kwa Warumi(Roman Empire)
Hawa wote British na Roman zilikuwa dola kubwa za Wakristo
Wakati wanatunga Sheria hizi maslahi ya Wakristo yaliangaliwa kwanza

Kwa hiyo hizi Sheria za Serikali =Sheria za Wakristo


Kwa issue ya Reginald Mengi na watoto wake ni NGUMU SANA, huwezi jua ugumu wake mpaka uvae VIATU VYAKE

Kumbuka Mengi na Mercy walipotoka mpaka kuja kutalikiana 2015 na watoto wakubwa kiasi kile => Mpaka kukubaliana kugawana Mali ==>LIPO JAMBO

Tuishie hapo
 
Issue moja kwenye maswala ya uendelezaji wa mali za wahindi au waarabu hua hivi..baba hua anamteua kabisa mtu atakae rithi viatu vyake anaangalia kati ya watoto wake yupi anaweza kuognoza wenzake kama kwenye familia yake hakuna anaenda kuangalia hata kwa watoto wa kaka zake ilimradi apatikane kiongozi kwa mfano si unaona yule Mo baba yake kamuachia maswala yote ya mali kwaio yeye ndo anakua kama baba na unakuta ndugu zake MO wote ni watumishi wake kwenye kampuni au mali kwaio maswala yote aliyotakiwa kufanya baba yake na MO anafanya yeye iwe kusomesha watoto wa kaka yake, wadogo zake, sijui mjomba au shangazi yote yanamalizwa na MO na hao wengine wote wanakua watumishi wakiona wanahitaji kuanzisha kitu chao wanapewa mtaji guidance etc..sasa hapo hauwezi kuta ugomvi wa familia sasa tukija kwetu watu weusi unakuta mmoja au hata kaka yake na mzee wako wanaombea mzee wako afariki waje kuwakazia kwenye mirathi au kutapanya mali kwa kuuza, kuleta michongo isioeleweka mara watake kuwadhulumu etc sasa wakristo tatizo tunakazia kwwnye elimu ambayo kimsingi haiwezi kukutoa kimaisha na kiuchumi kivile...
 
Wewe ni empty headed na hoja yako imefunikwa na dini yako.
Inasikitisha mno! Hivi anajua list za familia za matajiri ulimwenguni! Sidhani kama amewahi kusikia watu kama Rothschild familiy! Huwezi zungumzia Banking ulimwenguni bila hii familia! Ziko familia nyingi mno utajiri wao una trace kuanzia 1800..
Sipendi kuleta mjadala wa kidini! Na sidhani dini ya Kiislam ndio imempumbaza, ni ufinyu wa mawazo yake tu binafsi.
 
Inasikitisha mno! Hivi anajua list za familia za matajiri ulimwenguni! Sidhani kama amewahi kusikia watu kama Rothschild familiy! Huwezi zungumzia Banking ulimwenguni bila hii familia! Ziko familia nyingi mno utajiri wao una trace kuanzia 1800..
Sipendi kuleta mjadala wa kidini! Na sidhani dini ya Kiislam ndio imempumbaza, ni ufinyu wa mawazo yake tu binafsi.
Hivi anajua ni nani anatawali biashara ya Diamond ulimwenguni! Ni familia ya ya akina Opennheimer ambao ni wamiliki wa De Beers, biashara hiyo walianza miaka 134 iliyopita, leo bado kitukuu au mjukuu Ernest Oppenheimer bado anaingoza kampuni,huuzi, hununui au huchimbi Diamond ulimwenguni bila De Beers kulamba help yako.
 
Mtu alikwisha andika Wosia (Will) mahakama imeshindwa kuusimama sasa hapo nani ndio mwenye tatizo Mtu au taasisi inayosimamia sheria.

Ulaya na US mtu ana andika wosia wake kwamba akifa mali yote au asilimia 99% arithi mbwa au paka wake asilimia 1% ndio anapata mtoto au watoto tena wakati mwingine mtu hana mali yoyote ya maana zaidi ya NYUMBA tu anayeishi na mahakama inasimamia kile kilicho andikwa na mwenyewe.
 
Aibu kubwa zaidi kwa wale wanaogombania hizo mali yaani laana kubwa. Jackloine anatakiwa kuungana na ndugu na watoto wote wa marehemu kuendeleza assets hizo badala ya kugawa . only Creating shares.
 
Wazungu,wahindi,waarabu,wasomali
Kwenye mgawanyo wa Mali wote huwa wanapata sawa...
Ila kwa wale ndugu zetu utaona kuna mmoja anataka yeye apate kuliko wenzake hadi kujifanya ndiyo mmiliki
Wa Mali

Ova
 
Inasikitisha mno! Hivi anajua list za familia za matajiri ulimwenguni! Sidhani kama amewahi kusikia watu kama Rothschild familiy! Huwezi zungumzia Banking ulimwenguni bila hii familia! Ziko familia nyingi mno utajiri wao una trace kuanzia 1800..
Sipendi kuleta mjadala wa kidini! Na sidhani dini ya Kiislam ndio imempumbaza, ni ufinyu wa mawazo yake tu binafsi.
Which 10 Families Are the Wealthiest?
  • The Waltons with $212 billion24.
  • The Mars family with $142 billion.
  • The Kochs with $124 billion.
  • The Hermès family with $112 billion.
  • The Sauds with $100 billion.
  • The Ambanis with $94 billion.
  • The Wertheimers with $62 billion.
  • The Johnsons with $61 billion.
Hizi familia tu, ukifuatilizia orodha nzima no majority wengi ni kutoka US, na wengi ni utajiri wa enzi, ndio maana nasema wigo wake ni finyu, na vigumu mno kuona utajiri wa akina Bakharesa. ASAS ni wajana tu, upe kama miaka 100 tuone kama hayo makampuni yatakuwepo! Hapo ndipo unapoweza kuleta hiyo nadharia.
Anasahau kwamba utajiri wa ulimwengu umeshikwa na 1% ya matajiri walioko US, na asilimia ndogo iko ulaya, na utajiri wao si wa jana! Nadhani haelewi hilo!
 
Hivi anajua ni nani anatawali biashara ya Diamond ulimwenguni! Ni familia ya ya akina Opennheimer ambao ni wamiliki wa De Beers, biashara hiyo walianza miaka 134 iliyopita, leo bado kitukuu au mjukuu Ernest Oppenheimer bado anaingoza kampuni,huuzi, hununui au huchimbi Diamond ulimwenguni bila De Beers kulamba help yako.

Hivi sheria ya mirathi ya serikali ya Tanzania ndio ndio inatumika na serikali ya marekani?

Ukristo tanzania unatumia sheria ya mirathi ya serikali ya Tanzania

Nitajie bilionea gani mwenye jina kubwa ambaye ni mkristo Tanzania amefariki na hakujasikika mgogoro wa mirathi yake?
 
KILA ANAPOFARIKI TAJIRI MKRISTO TU SEKE SEKE LAZIMA ZIANZE SABABU KUBWA NI BIBLIA IMESAHAU KUWEKA MWONGOZO WA MIRATHI
Ukristu hauzungungumzii mambo ya mirathi kwa kuwa sio ya kiroho, hayo ni ya kimwili. Ukristu unafundisha maisha ya kiroho hasa baada ya kufa. "vya Kaisari mpeni Kaisari, na vya Mungu mpeni Mungu."

Luka 20:28-36
28 ... wakisema, Mwalimu, Musa alituandikia ya kuwa, mtu akifiwa na ndugu yake mwenye mke, lakini hana mtoto na amtwae huyu mke, ampatie ndugu yake mzao. 29 Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa mke, akafa hana mtoto; 30 na wa pili [akamtwaa yule mke, akafa hana mtoto;] 31 hata wa tatu akamwoa, na kadhalika wote saba, wakafa, wasiache watoto. 32 Mwisho akafa yule mke naye. 33 Basi, katika ufufuo atakuwa mke wa yupi? Maana aliolewa na wote saba. 34 Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa; 35 lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi; 36 wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.
 
Kwa hiyo unataka kusema sheria ya mirathi ya kiserikali ina matatizo?

Inawezekana ikawa ina matatizo. Ndio maana napendekeza ukristo utunge sheria yake ili isitumike ya ki serikali
 
Hivi sheria ya mirathi ya serikali ya Tanzania ndio ndio inatumika na serikali ya marekani?
Ukristo tanzania unatumia sheria ya mirathi ya serikali ya Tanzania
Kwa hiyo kuna Ukristo wa Tanzania na Ukristo wa Marekani? Naona unataka kuanza kubadilisha uelekeo wako
 
Habari wadau.

Nazani wote tunaona ona ugomvi wa mirathi wa familia ya mengi.

Mtu unapata utajiri wa zaidi ya bilion 500 ila unashindwa kuandaa waendelezaji wa mali hizo.

Mtu tajiri sana kama Mengi ila unaruhusu watoto wako wanakuwa wakubwa mpaka wanafika miaka 25 ama 30 bila kuoa hata kuolewa.. sasa 3rd generation ya kuendeleza mali watazaliwa lini? na watakuwa wakubwa lini? na watafundishwa biashara lini?

Matajiri wengi levo ya mengi wamefariki ila hatuoni wakipelekana mahakamani. Tena wengi wao wana watoto wengii na wake wengii kuliko mengi

Kafa tajiri wa Asas kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Ali mafuruki kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Zakaria mwenye kiwanda cha Korie kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa baba yao na gsm kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa somaiya sijui wa shivacom kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake.

Kafa Subhash Patel tajiri wa Motisun group. Viwanda kibaoo ila mirathi yake kimyaaa hatujasilia mgogoro wowote.

DINI YA KIKRISTO PIA INAPASWA IBADILIKE NA KUTUNGA MUONGOZO WA MIRATHI YA KIKRISTO. SHERIA YA MIRATHI YA KISERIKALI AMBAYO WAKRISTO WANALAZIMIKA KUITUMIA NI CHANZO CHA MIGOGORO MINGI.

MREMA KAFARIKI MGOGORO UMEANZA .

KAFARIKI BILIONEA MSUYA MGOGORO MPAKA MTU NA WIFI YAKE WAMECHINJANA

MAMA LWAKATARE KAFARIKI MGOGORO UMEANZA..

KILA ANAPOFARIKI TAJIRI MKRISTO TU SEKE SEKE LAZIMA ZIANZE SABABU KUBWA NI BIBLIA IMESAHAU KUWEKA MWONGOZO WA MIRATHI



Matajiri ambao ni Waislamu wenzetu hawaitumii hiyo sheria ya kiserikali. Sababu wao wana muongozo umeandikwa kabisa katika quran yao.

Pia hata matajiri wanaoishi maisha ya kimila.. kama bilionea laizer yule wanapofariki ni ngumu kusikia mgogoro maana sheria ya kimila inatumika ( hawatumii ya kiserikali). Unakuta Mtu ana wake kibao na watoto kibao ila hawagombani wala kuleta mgogoro wa mali.

Ila ukristo mke mmoja tu ila migogoro kibao
Mbona wazungu wengi wao ni WA kristo lakin hawana migogoro acha upotoshaji
 
Ukristo wa Tanzania au wa ulimwenguni?

Hakuna sheria ya ulimwengu. Kila nchi ina sheria zake .

Hapa Tanzania kuna sheria ya serikali ambayo inatumiwa na watu wote wasio na dini na wenye dini ambazo hazina muongozo wa mirathi .

Tanzania wanachoangalia marehemu alikuwa anaishije.. kama alikuwa muislam wanakubali kutumia sheria ya kiislam sababu ipo wazi na imeandikwa kabisa kwenye quran. Kama marehemu alikuwa anaishi maisha ya kikristo mahakama inatumia sheria ya kiserikali sababu ukristo hauna sheria yake ambayo mahakama ingepaswa kuifata
 
Ndio nimemjaribu kumueleza, dini ya Kikristo haina sheria ya mirathi, sina haja ya kufanunua hapa, Kwa Tanzania sheria za mirathi za serikali zinatumika, na nchi nyingine kama Marekani utaona matajiri wanafariki, sheria za nchi zinatumika labda zivunjwe, kuna familia ya Walton,wanaomiliki Walmart utajiri,mzee Walton alikufa zake kitambo, lakini Wal-Mart inazidi kukua kila leo.
We ni muongo biblia imeelezea kuhusu mirathi mfano mtoto wa kwanza na mwisho ni warithi sema tu wewe sio msomaji wa biblia

Wakina daudi, suleman, ibrahimu wote hawa walikua matajiri na waligawa urithi
 
Hivi sheria ya mirathi ya serikali ya Tanzania ndio ndio inatumika na serikali ya marekani?

Ukristo tanzania unatumia sheria ya mirathi ya serikali ya Tanzania

Nitajie bilionea gani mwenye jina kubwa ambaye ni mkristo Tanzania amefariki na hakujasikika mgogoro wa mirathi yake?
Unazidi kujichanganya...angalia argument ya mleta mada...na mwingine kasema Biblia imefeli...sidhani kama dini inaingia hapa mkuu! Nina mifano mingi mkuu, naona chuki ya dini ndio inataka kusukuma mada! Na nadhani hujui dini ya Kikristo na uhuru aliopewa muumini! Kwa hiyo kama Ukristo umefeli no Tanazinia tu? Huoni ni maswala binafsi mkuu! Don't drag religion into this.
 
Kwa hiyo kuna Ukristo wa Tanzania na Ukristo wa Marekani? Naona unataka kuanza kubadilisha uelekeo wako

Embu kasome uzi tena uelewe vizuri.. maana umeleta mambo ya marekani huku tunaongelea sheria ya serikali ya Tanzania

Kwani marekani wanatumia sheria ya mirathi ya ukristo. Ama sheria ya mirathi ya serikali ya marekani?
 
Mbona wazungu wengi wao ni WA kristo lakin hawana migogoro acha upotoshaji


Wazungu hawana migogoro sababu wanatumia sheria za serikali yao. Sheria zao za mirathi zinaruhusu kumpa urithi hata mbwa ama paka.

Ila dini ya Kikristo haina sheria ya mirathi, sina haja ya kufanunua hapa, Kwa Tanzania sheria za mirathi za serikali zinatumika, na nchi nyingine kama Marekani utaona matajiri wanafariki hakuna mgogoro sababu sheria za serikali za nchi zao zinatumika. Sio sheria za ukristo bali ni za serikali zao
 
Back
Top Bottom