Aibu!! Simba hawakupiga shoot lolote kwa hata offside opponent wao

Aibu!! Simba hawakupiga shoot lolote kwa hata offside opponent wao

"GSM ni wahujumu uchumi na magaidi wanyonge tu kwakweli" in Makolooo's voice
 
Ati RS Berkane ni timu ya kawaida saa! Timu ambayo mwaka juzi ndio walikuwa mabingwa wa hilo kombe na mwaka jana walicheza fainali! Wewe ni noma aisee.

Vv
 
Makolo hasara kwa taifa, naomba watoe lile neno la visit Tanzania.

Haiwezekani timu tumeituma kuwakilisha taifa wanachezewa Kama vile

Aibu zilizotokea Leo kwa makolo

Shoot kipindi cha Kwanza

makolo ....total shoot 0
Rs berkane ....total shoot 10

Ball possession
SIMBA: 33%
Rs berkane 67%

Comment factors for kolo failure
1. Poor government support
2. Aged players


Malizia factors zingine

View attachment 2133625
hasara kwa taifa ni wale walioiga kutangaza utalii wakaishia kupigwa nje ndani
 
Yanga tusingefanyiwa uzalilishaji huu
We unataka udharirishaji upi zaidi ya ule mliofanyiwa na Rivers utd timu ndogo kabisa barani Afrika? Hata goli la offside tu utopolo hakupata nyumbani na ugenini.Angalau simba bado ana nafasi ya kuja kujiuliza tena nyumbani kwa mkapa . Hapo ndipo utakapowataa hao Berkane kwamba siyo wenyewe jinsi watavyogeuzwa asusa.
 
We unataka udharirishaji upi zaidi ya ule mliofanyiwa na Rivers utd timu ndogo kabisa barani Afrika? Hata goli la offside tu utopolo hakupata nyumbani na ugenini.Angalau simba bado ana nafasi ya kuja kujiuliza tena nyumbani kwa mkapa . Hapo ndipo utakapowataa hao Berkane kwamba siyo wenyewe jinsi watavyogeuzwa asusa.
Kanuni ni ile ile:Kila mtu ashinde mechi zake nyumbani
 
Baada ya timu ya Simba SC "kukalishwa" (2-0) hapo jana na timu ya kawaida sana RS Berkane katika mechi iliyofanyika ndani ya mji wa Berkane, Morocco. Ipi ni tathmini yako juu ya mchezo huu?

Kwa jinsi wachezaji wa Simba walivyocheza siku ya jana, nadhani walivuka mstari wa kati ya uwanja si zaidi ya mara 10 au zaidi kidogo kwa dakika zote 90.

Hii ilinifanya nitupie jicho tofauti kidogo na watu wengine. Je, unahisi kuna hujuma kutoka kwa wapinzani wetu wa ligi? Namaanisha waliwahonga wachezaji wetu ili "wajikoseshe kulenga" pasi sahihi.

Hivi kweli Simba SC ni ya kupata takwimu hizi kwa mchezo wa Dk 90? Yani tupate 0 namaanisha "Zero" shorts on target?
Je, wewe unadhani kuna hujuma au kiwango chetu kidogo?

View attachment 2133903

View attachment 2133904
Hata tungeipeleka gwambina.......wasingefanya Kama makolo walivyotuaibisha
 
Ati RS Berkane ni timu ya kawaida saa! Timu ambayo mwaka juzi ndio walikuwa mabingwa wa hilo kombe na mwaka jana walicheza fainali! Wewe ni noma aisee.

Vv
Nlijua kule Kuna waamuzi wamchongo
 
Back
Top Bottom