AIBU:Simba wafanya ushirikina mechi ya leo Taifa.

AIBU:Simba wafanya ushirikina mechi ya leo Taifa.

Uchawi ungekuwa unafanya kazi.. basi Nigeria ingekuwa imechukuwa kombe la dunia Mara nyingi..
 
Leo kwenye mechi kati ya simba sc na Lipuli fc kumetokea vitendo vya kishirikina.Ilipofika muda wa mapumziko mchezaji wa simba Dilunga alikataa kutoka kwenye pitch ya uwanja mpaka pale wachezaji wote wa lipuli watoke lakini lipuli fc wakastuka na mchezaji wao mmoja akawa anagoma kabaki uwanjani hivyo mchezaji Dilunga wa simba na mchezaji mmoja wa lipuli wakabaji uwanjani kila mmoja akimsubiri mwenzake atoke mwanzo.

Uwanja ulifurika kwa shangwe kutoka kwa mashabiki lkn wachezaji hao bado wakawa wanategeana kila mmoja akimsubiri mwenzie atoke.Muda ukawa unayoyoma ndipo Dilunga akamfuata mchezaji huyo wa lipuli na kumsihi watoke lkn kituko walipofika kwenye mstari wa kutoka uwanjani wakategeana ndipo dilunga akamsukumiza mchezaji huyo wa lipuli na yeye akafuatia.



Hata hivyo mganga na komandoo maarufu wa simba aitwaye somo alionekana akitoa maelekezo kwenye benchi la ufundi la simba wkt hali ikiwa tete uwanjani.



Video tizameni mpate mwanga vizuri


Siku zingine uwe unaacha Kimbelembele / Kiherere hasa pale kama hujui mambo au jambo fulani. Mshika ' Majukumu ' yote ya Simba SC siyo huyo Mzee Somo kama ambavyo Wewe na Yanga SC wenzio wote ' Washamba / Mambwiga ' mnavyojua. Wabeba ' Mabomu ' Wakuu wa Simba SC hasa ya ' Kishirikina ' kwa ndani ya Uwanja ni Ngande na kwa Jukwaani ni Ndugu na Tajiri mmoja hivi wa Afrika Mashariki aliyetekwa kwa Siku Kenda / Tisa wenyewe Watu wa Mpira tunamuita ' KD '. Ya Simba SC yetu tuachie wenyewe na Wewe baki ya Yanga SC yako tafadhali sawa?
 
Back
Top Bottom