figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Ni aibu kubwa baada ya miaka 60 ya uhuru kuona Watanzania bado Wanajisaidia Vichakani.
Hii inatokana na kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa Wasiowajibika.
Uchaguzi wa 2024 uwe Mkombozi ili kulinda Mazingira kwa kuhakikisha tunachagua Viongozi wanaojielewa bila kujali wanatoka chama gani.
Pia soma: DOKEZO - Serikali inasema Kipindupindu Simiyu ni ukosefu wa Vyoo lakini kuna sababu kubwa nyuma ya pazia
Kwa Mjibu wa Serikali ya Tanzania, asilimia 13.4 ya Wakazi wa vijijini hawana vyoo kabisa. Tafsiri yake ni kwamba watu hawa ndiyo wanaojisaidia ovyo (Open defecation) vichakani na maeneo mengine ambayo sio rasmi.
Hali hii inachangia kuwepo kwa magonjwa ya milipuko ikiwemo kipindupindu. Ambacho kinaua.
Kipindi cha Januari hadi Oktoba 2023 jumla ya watu 749 waliougua kipindupindu 16 kupoteza Maisha.
Watu wanapoteza maisha kwa Uzembe wa mtu mmoja ambaye kapiga kura kwa kupewa Rushwa nk.
Ni wajibu wetu sasa tuchague Viongozi ambao watasimamia kikamilifu swala la Mazingira ikiwemo Ujenzi wa vyoo.
Pia soma:
www.jamiiforums.com
Ni aibu kubwa baada ya miaka 60 ya uhuru kuona Watanzania bado Wanajisaidia Vichakani.
Hii inatokana na kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa Wasiowajibika.
Uchaguzi wa 2024 uwe Mkombozi ili kulinda Mazingira kwa kuhakikisha tunachagua Viongozi wanaojielewa bila kujali wanatoka chama gani.
Pia soma: DOKEZO - Serikali inasema Kipindupindu Simiyu ni ukosefu wa Vyoo lakini kuna sababu kubwa nyuma ya pazia
Kwa Mjibu wa Serikali ya Tanzania, asilimia 13.4 ya Wakazi wa vijijini hawana vyoo kabisa. Tafsiri yake ni kwamba watu hawa ndiyo wanaojisaidia ovyo (Open defecation) vichakani na maeneo mengine ambayo sio rasmi.
Hali hii inachangia kuwepo kwa magonjwa ya milipuko ikiwemo kipindupindu. Ambacho kinaua.
Kipindi cha Januari hadi Oktoba 2023 jumla ya watu 749 waliougua kipindupindu 16 kupoteza Maisha.
Watu wanapoteza maisha kwa Uzembe wa mtu mmoja ambaye kapiga kura kwa kupewa Rushwa nk.
Ni wajibu wetu sasa tuchague Viongozi ambao watasimamia kikamilifu swala la Mazingira ikiwemo Ujenzi wa vyoo.
Pia soma:
LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu, Ili kuzifikia nyuzi hizi kirahisi, hapa utapata orodha yote ya mikoa inayoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, ambamo ndani yake utapata links za matukio yote yanayojiri katika mikoa husika, mpaka kufikia kwenye matokeo ya uchaguzi huo. ==== Mwaka huu 2024 Tanzania Bara...