Mimi sijawahi imba pambio Wewe kima,mimi huwa natoa kongole panapostahili na nakosoa panapobidi..
Tafuta nyuzi zangu ziko nyingi Sana humu zikikosoa na kutoa ushauri..
Hata hivyo SSH kaamua kufanya kwenye kwa kutoa hizo bil.972 kwa ajili ya kuwapunguzia ujinga.