Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Daaaa tatizo lipo kuanzia chini hukooooo! ndo maana wakienda fanya kazi nje banaTatizo linaaanzia chini. Wanaodahiliwa hawana uwezo kabisa. Mfano mfano wanaofaulu darasa la Saba kwenda firm one hawana uwezo kabisa,wanaofaulu form four kwenda firm five chujio Lina matundu makubwa alaf form six ety Kila mwaka wanaofaulu kwa 98%