Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo imekuwa siku mbaya kwangu, nimepanga geto uswahilini na tunashare choo/bafu(both in the same room) na wapangaji 7 wengine(most ni 1st & 2nd year wa chuo jirani hapa).
Asubuhi ya leo nimenda chooni kwa lengo la kujisaidia pamoja na kuoga lakini janga likanipata mdada wa 1st year amekuja kwa spidi ghafla kavuta mlango na ukachia, nilikuwa nimechuchumaa ikabidi nisamame kwa haraka kuvuta mlango(kibaya nilivua nguo zote nkiwa na lengo la kuoga after), ndugu zangu majanga ikabidi ashike mdomo kwa mshtuko akabaki kusema "samahani jamani" akiwa anaondoka.
Siwezi kueleza yote ila toka asubuhi sikutoka ndani kwa aibu iliyonipata.
........ And you are sure about the latter, Right???Two things are infinite: the universe and human stupidity; and I'm not sure about the universe.
Je angekukuta unapiga punyeto na unaishi nao humo ndani ingekuajeLeo imekuwa siku mbaya kwangu, nimepanga geto uswahilini na tunashare choo/bafu(both in the same room) na wapangaji 7 wengine(most ni 1st & 2nd year wa chuo jirani hapa).
Asubuhi ya leo nimenda chooni kwa lengo la kujisaidia pamoja na kuoga lakini janga likanipata mdada wa 1st year amekuja kwa spidi ghafla kavuta mlango na ukachia, nilikuwa nimechuchumaa ikabidi nisamame kwa haraka kuvuta mlango(kibaya nilivua nguo zote nkiwa na lengo la kuoga after), ndugu zangu majanga ikabidi ashike mdomo kwa mshtuko akabaki kusema "samahani jamani" akiwa anaondoka.
Siwezi kueleza yote ila toka asubuhi sikutoka ndani kwa aibu iliyonipata.
Poor u Vs poor you.na ww unajiita msom wa chuo kikuu?!
Hivi ktk masomo yako hujaona changamototo zozote ndan ya taifa hili?
Inatia aibu kwa degree holder kuandika vitu kama hivi.
Poor u!....
Acha utoto, mvutie pumzi, halafu umuombe ile kitu namesa mwenzie, kwa vile ameshaiona atapenda mgegedo wako!
Haya tuma salamu kwa watu wawiliLeo imekuwa siku mbaya kwangu, nimepanga geto uswahilini na tunashare choo/bafu(both in the same room) na wapangaji 7 wengine(most ni 1st & 2nd year wa chuo jirani hapa).
Asubuhi ya leo nimenda chooni kwa lengo la kujisaidia pamoja na kuoga lakini janga likanipata mdada wa 1st year amekuja kwa spidi ghafla kavuta mlango na ukachia, nilikuwa nimechuchumaa ikabidi nisamame kwa haraka kuvuta mlango(kibaya nilivua nguo zote nkiwa na lengo la kuoga after), ndugu zangu majanga ikabidi ashike mdomo kwa mshtuko akabaki kusema "samahani jamani" akiwa anaondoka.
Siwezi kueleza yote ila toka asubuhi sikutoka ndani kwa aibu iliyonipata.
Leo imekuwa siku mbaya kwangu, nimepanga geto uswahilini na tunashare choo/bafu(both in the same room) na wapangaji 7 wengine(most ni 1st & 2nd year wa chuo jirani hapa).
Asubuhi ya leo nimenda chooni kwa lengo la kujisaidia pamoja na kuoga lakini janga likanipata mdada wa 1st year amekuja kwa spidi ghafla kavuta mlango na ukachia, nilikuwa nimechuchumaa ikabidi nisamame kwa haraka kuvuta mlango(kibaya nilivua nguo zote nkiwa na lengo la kuoga after), ndugu zangu majanga ikabidi ashike mdomo kwa mshtuko akabaki kusema "samahani jamani" akiwa anaondoka.
Siwezi kueleza yote ila toka asubuhi sikutoka ndani kwa aibu iliyonipata.