DOKEZO Aibu UDSM kiajiri wahitimu isiwalipe

DOKEZO Aibu UDSM kiajiri wahitimu isiwalipe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Na hapo unatakiwa uwe smart uonekane kilecture lecture,afu hupew hela,makadeti yanaanza kupauka

Kuna watu ni wajinga sana humu kutetea huo ujinga
Unajua hadi nimeogopa, mtu mzima na akili zake ana tetea ujinga kama huo, tena unao unafanywa na taasisi yenye wasomi watupu. Ajabu sana.
 
Ndugu Mtoa Mada,

Hebu fuatilia vizuri. Ninachofahamu ni kwamba utaratibu wa kubakiza wahitimu waliofanya vizuri ulishaachwa katika vyuo vya umma.

Siku hizi ajira zote za vyuo vikuu vya umma zinatangazwa kwa uwazi na Mtanzania yeyote mwenye sifa anaomba. Baada ya maombi kupokelewa panakuwa na usaili jumuishi. Mpaka wawakilishi wa Wizara huwa wanakuja.

Wale wanaobahatika kuajiriwa majina yao hupelekwa Utumishi kwa hatua zinazofuata -- kama mtumishi mwingine yeyote wa serikali. Mishahara huanza kutoka muda wowote ndani ya miezi mitatu.

Kama kuna mtu amebakizwa UDSM kwa utaratibu wa zamani hebu mwambie afuatilie vizuri ajue amebakizwa kivipi. Pengine amebakizwa kama research assistant chini ya mradi fulani.
Asante kwa ufafanuzi. Lakini nikuhakikishie kwamba wanabakizwa kwa hicho unachosema “utaratibu wa zamani”, hadi naandika hapa nimefuatilia na kujiridhisha. Chuo Kama “Academic Excellence Center “ kilitakiwa kuwa mfano wa kuongea katika masuala ya kufuata taaluma inabyotaka. Tunafahamu suala la ajira ni changamoto kwa sasa, lakini wasichukulie kuwa ingezo wakati watoto hao wanahangaika. (JAMII CHEK wanaweza kusaidia kujua zaidi usahihi wa mambo haya)

Hata Kama ungekuwa wamebaki Kama “Research Assistant” bado kumuweka muhitimu muda wote bila kumpa hudum hata Nauli si jambo jema kabisa. Unakuja muhitimu aliyebakizwa anatokea mikoa fulani huko na Jana usaidizi kiuchumi.
 
Unaielewa hoja yangu kaka? Siwatetei waliozurumiwa, narudia tu just in case hujanielewa, "Kitendo cha kuajiri watu bila mkataba na kimefanywa na taasisi inayo heshimika kama UD ni kibaya na kashfa kubwa" uhuni kama huo ufanywe na sekta binafsi, sio taasisi za serikali na hasa chuo kikuu cha Dar, zamani UD ilijulikana kama the home of intellectuals, bahati mbaya sana sasa hvi ndio kina ongoza kutoa machawa wengi zaidi. Ujumbe wangu upo pale kwenye alama hizi " "
Elewa Logic behind ya hao kuajiriwa, maana yake kuna uhitaji lakini kibali hakijatoka, wameamua kuwachukua wakati mnasubiri kibali kitoke, hii sio UDSM tu hata TRA wapo, makumpuni ya private wapo, kama unaona uvumilivu umekushinda ondoka nenda kwenye kampuni yenye mkataba, tofauti na hapo ratiba za hapo Mlimani ni flexible sana...tafuta sehemu ya kujishika kwenye kampuni za consultancy services ikishindikana kabisa hata part time teaching jobs wakati unasubiria serikali itoe vibali, mwisho wa siku mtalipwa na wavumulivu ndio watakao neemeka.
 
Elewa Logic behind ya hao kuajiriwa, maana yake kuna uhitaji lakini kibali hakijatoka, wameamua kuwachukua wakati mnasubiri kibali kitoke, hii sio UDSM tu hata TRA wapo, makumpuni ya private wapo, kama unaona uvumilivu umekushinda ondoka nenda kwenye kampuni yenye mkataba, tofauti na hapo ratiba za hapo Mlimani ni flexible sana...tafuta sehemu ya kujishika kwenye kampuni za consultancy services ikishindikana kabisa hata part time teaching jobs wakati unasubiria serikali itoe vibali, mwisho wa siku mtalipwa na wavumulivu ndio watakao neemeka.
Unadhani hiyo mifano unayo isema siijui? Naweza kua najua zaidi kuliko hizo taasisi ulizozitaja. Shida yangu sio kwamba hao wanao kubali kufanya kazi bila kulipwa; swali linabaki, sheria ina support hicho kinacho fanywa na hizo taasisi ulizo zitaja? Hi tabia, ilianzia sekta binafsi hasa private hospitals and schools, waajiri wanawachukua graduates na wanawafanyisha kazi bila mshahara then baada ya mwaka 1 wanawatema while wamewazalishia faida. Bahati mbaya sana uhuni hu sasa taasisi zinazo heshimika nazo zime copy kutoka huko; swali bado linabaki, sheria ina support hi tabia? Miaka yote, UD na vyuo vingine wamekua wanabakisha graduates kadhaa wakiwaanda kama lecturers wa baadae, why mwaka hu?
 
Elewa Logic behind ya hao kuajiriwa, maana yake kuna uhitaji lakini kibali hakijatoka, wameamua kuwachukua wakati mnasubiri kibali kitoke, hii sio UDSM tu hata TRA wapo, makumpuni ya private wapo, kama unaona uvumilivu umekushinda ondoka nenda kwenye kampuni yenye mkataba, tofauti na hapo ratiba za hapo Mlimani ni flexible sana...tafuta sehemu ya kujishika kwenye kampuni za consultancy services ikishindikana kabisa hata part time teaching jobs wakati unasubiria serikali itoe vibali, mwisho wa siku mtalipwa na wavumulivu ndio watakao neemeka.
Upo sahihi ndugu. Japo taasisi nyingi siku hizi hutenga Kiasi cha fedha toka mapato ya ndani kuwasaidia hata Nauli. Baadhi ya taasisi hata vijana wanaofanya Field Practical Training wanawapa Nauli kwa sababu wanazalisha.

Hapa linakuja suala la “logic” tu kwamba wanaishije (Kula, kulala na kusafiri) wakati wengine ni wahitimu “fresh from school “ na walikuja Dar kwa sababu ya masomo. Na Pia hawana backup hata huko walikotokea .

Nadhani mamlaka husika ilyaangalia mambo haya, itasaidia vijana Hawa ambao ni nguvu kazi nzuri kabisa
 
1.Isiyokuwasha hujailamba.
2.Pilipili ya shamba yakuwashia nini.
3.....

# Wahenga.
 
Back
Top Bottom