Aibu: UWT mbeya, jengeni jumuiya yenye nguvu sio machawa wa Mbunge

Aibu: UWT mbeya, jengeni jumuiya yenye nguvu sio machawa wa Mbunge

angelina kabeta

New Member
Joined
Dec 24, 2022
Posts
3
Reaction score
1
Inasikitisha sana kwa taasisi kubwa ya chama chetu kutokemea na kusahihisha upumbavu kama anao fanya huyu naibu waziri wa maji kwa wanawake wa mkoa wa mbeya.

Mimi kama miongoni wa wajumbe wa mkutano mkuu wa wanawake niliitikia wito wa jana kwenda pale tughimbe kwamba tumeitwa na mbunge wa viti maalum, yaani nilishangazwa kwanza kwa theme ya jambo lenyewe eti UWT mkoa wa Mbeya kumpongeza mama, halikuwa jambo baya lakini tunao uongozi wa uwt mkoa hakuona kama ni jambo la taasisi bali lilikuwa ni jambo la mbunge na wapiga kura wake.

Hivi wanawake wa mkoa wa mbeya kila mwaka itakuwa kazi yetu kwenda kula na kupewa posho tena posho zinatolewa kwa nyodo, mbunge anatuambia yeye ni mbunge na naibu waziri bilionea anataka na wanawake wawe bilionea🤣 daah ana mzaha sana huyu, hivi kuna asiye jua upatikanaji wa pesa unazo wahonga wapiga kura wako kila kukicha?

Tangu ukiwa Dc skendo zako za kutorosha madini na mpaka sasa unavyo kaba wakandarasi mpaka wanalalamika, halafu unakuja kudanganya wapiga kura na kuwapa posho za laki laki kwa mbwembwe kabisa.

Hivi umebadilisha nn kwenye jamii? Kwa stahili hiyo unaweza fafanua unajengaje uwt imara mbeya ya kukivusha chama cha mapinduzi?

Au ndo upo busy kujenga machawa wa kukusifia? Marry chatanda wape somo UWT mkoa wa Mbeya sio wanakutana kula na kupigana vijembe biashara imeeisha.

Kaa na Wabunge wako wape semina kazi za kibunge sio kukutana kufanya majungu na mama alisha sema anataka UWT imara sio kama wanavyo fanya wabunge wako wanatengeneza uwt ya wapambe wa kusifiana kwa ajili ya posho.

Na Dkt. Tulia leo kafanya shuhuli ya kuwasilisha utendaji wa kazi kwa wajumbe wa mkutano mkuu wilaya vile ndivyo mbunge anatakiwa kufanya, tulia mfundishe mbunge mwenzako jinsi ya kufanya siasa za kujenga jumuiya na sio siasa za ushangingi. Yaani ilikuwa ni mipasho kwa kweli.

Badilika mahundi , watu wanafurahia pesa zako kwa ajili ya dhiki lakini wanakuchamba ,na wanajua ulisha sema wanawake ni pesa tu hivyo wanakuchora , ipo siku utanishukuru we endelea kujitutumua mama Dangote kama unavyo jiita kwa fedha za ufisadi, tena za wavuja jasho la taifa hili.

Jirekebishe
 
Chama cha mambuzi, Ccm wote wamelaaniwa, wewe huo ujumbe pia umepata kwa pesa za kuhonga na doti za vitenge.

Usitupigie kelele.
 
Umekosa Kazi kipindi hiki Cha likizo umeamua kuja na kihoja hiki? Kwanza kabla sijakutwisha majibu why umeogopa kutumia account yako ya kipindi kile? Hahahaha..... nyie ma abroad mna shida sana.

_Hakuna kipindi ambacho UWT Mbeya wanafuraha kama kipindi hiki. Wanafuraha Kwa kuwa viongozi wao wanafikika na wanajibu hoja na haja za UWT Mkoa wa Mbeya Kwa wakati.

_Mhandisi Mahundi amekuwa kipenzi Cha Wanawake wa mbaya Kwa kuwa muda ambao yupo Mbeya yupo busy kusikiliza kero za Wanawake bila kujali waliomuunga mkono au ambao hawakumuunga mkono.

_Unapokuwa Mbunge LAZIMA uwe na akili na ujue kuandika maandiko yatakayosaidia kupata mahitaji ya unaowaongoza na kuwavusha. Ushujaa na uhodari wa kiongozi ni kuonyesha njia na kutatua kero za anaowaongoza. Mahundi anafanya hivyo Kwa vitendo ndiyo maana mumeanza kulia Lia. Ndo kwanza mwaka wa pili, ikiwa minne LAZIMA mkimbizwe milembe.

_Sikia wewe, ni Mwanamke yupi wa UWT anayeweza kumbeza Mahundi ambaye ametoa ndoana Kwa UWT?; Wanawake wametoa ushuhuda mtu alipewa mtaji wa 5Ok Leo ana Kuku 60, wengine wana gunia 6 za maharage, huyu anamchukia vipi Mahundi? Mahundi ambaye amewahamisha Wanawake kutumia Kuni na kuwapa majiko ya gesi? Au yupi?

_Kupongeza ni kawaida Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu kuonyesha furaha ya jambo. Ipi nongwa Kwa UWT kuwapongeza viongozi?"
_Tofautisha majukumu ya Dkt Tulia na MHANDISI Mahundi. Mmoja ni Mbunge wa Jimbo anayewajibika kusoma utekelezaji wa Ilani Kwenye Jimbo lake na Mwingine ni Mbunge wa Wanawake anayewajibika Kwa UWT.

_Acheni wivu. Wambieni watu WENU wafanye Kazi Kwa bidii na Maarifa, watu watawapima Kwa hayo. Umbea haijawahi kumfikisha mtu peponi zaidi ni kwenye ni kwenye ziwa la moto.

Chapa Kazi Mahundi achana na Hawa wanaojaribu kutengeneza ajenda za kukurudisha nyuma.
 
Inasikitisha sana kwa taasisi kubwa ya chama chetu kutokemea na kusahihisha upumbavu kama anao fanya huyu naibu waziri wa maji kwa wanawake wa mkoa wa mbeya.

Mimi kama miongoni wa wajumbe wa mkutano mkuu wa wanawake niliitikia wito wa jana kwenda pale tughimbe kwamba tumeitwa na mbunge wa viti maalum, yaani nilishangazwa kwanza kwa theme ya jambo lenyewe eti UWT mkoa wa Mbeya kumpongeza mama, halikuwa jambo baya lakini tunao uongozi wa uwt mkoa hakuona kama ni jambo la taasisi bali lilikuwa ni jambo la mbunge na wapiga kura wake.

Hivi wanawake wa mkoa wa mbeya kila mwaka itakuwa kazi yetu kwenda kula na kupewa posho tena posho zinatolewa kwa nyodo, mbunge anatuambia yeye ni mbunge na naibu waziri bilionea anataka na wanawake wawe bilionea🤣 daah ana mzaha sana huyu, hivi kuna asiye jua upatikanaji wa pesa unazo wahonga wapiga kura wako kila kukicha?

Tangu ukiwa Dc skendo zako za kutorosha madini na mpaka sasa unavyo kaba wakandarasi mpaka wanalalamika, halafu unakuja kudanganya wapiga kura na kuwapa posho za laki laki kwa mbwembwe kabisa.

Hivi umebadilisha nn kwenye jamii? Kwa stahili hiyo unaweza fafanua unajengaje uwt imara mbeya ya kukivusha chama cha mapinduzi?

Au ndo upo busy kujenga machawa wa kukusifia? Marry chatanda wape somo UWT mkoa wa Mbeya sio wanakutana kula na kupigana vijembe biashara imeeisha.

Kaa na Wabunge wako wape semina kazi za kibunge sio kukutana kufanya majungu na mama alisha sema anataka UWT imara sio kama wanavyo fanya wabunge wako wanatengeneza uwt ya wapambe wa kusifiana kwa ajili ya posho.

Na Dkt. Tulia leo kafanya shuhuli ya kuwasilisha utendaji wa kazi kwa wajumbe wa mkutano mkuu wilaya vile ndivyo mbunge anatakiwa kufanya, tulia mfundishe mbunge mwenzako jinsi ya kufanya siasa za kujenga jumuiya na sio siasa za ushangingi. Yaani ilikuwa ni mipasho kwa kweli.

Badilika mahundi , watu wanafurahia pesa zako kwa ajili ya dhik

Inasikitisha sana kwa taasisi kubwa ya chama chetu kutokemea na kusahihisha upumbavu kama anao fanya huyu naibu waziri wa maji kwa wanawake wa mkoa wa mbeya.

Mimi kama miongoni wa wajumbe wa mkutano mkuu wa wanawake niliitikia wito wa jana kwenda pale tughimbe kwamba tumeitwa na mbunge wa viti maalum, yaani nilishangazwa kwanza kwa theme ya jambo lenyewe eti UWT mkoa wa Mbeya kumpongeza mama, halikuwa jambo baya lakini tunao uongozi wa uwt mkoa hakuona kama ni jambo la taasisi bali lilikuwa ni jambo la mbunge na wapiga kura wake.

Hivi wanawake wa mkoa wa mbeya kila mwaka itakuwa kazi yetu kwenda kula na kupewa posho tena posho zinatolewa kwa nyodo, mbunge anatuambia yeye ni mbunge na naibu waziri bilionea anataka na wanawake wawe bilionea🤣 daah ana mzaha sana huyu, hivi kuna asiye jua upatikanaji wa pesa unazo wahonga wapiga kura wako kila kukicha?

Tangu ukiwa Dc skendo zako za kutorosha madini na mpaka sasa unavyo kaba wakandarasi mpaka wanalalamika, halafu unakuja kudanganya wapiga kura na kuwapa posho za laki laki kwa mbwembwe kabisa.

Hivi umebadilisha nn kwenye jamii? Kwa stahili hiyo unaweza fafanua unajengaje uwt imara mbeya ya kukivusha chama cha mapinduzi?

Au ndo upo busy kujenga machawa wa kukusifia? Marry chatanda wape somo UWT mkoa wa Mbeya sio wanakutana kula na kupigana vijembe biashara imeeisha.

Kaa na Wabunge wako wape semina kazi za kibunge sio kukutana kufanya majungu na mama alisha sema anataka UWT imara sio kama wanavyo fanya wabunge wako wanatengeneza uwt ya wapambe wa kusifiana kwa ajili ya posho.

Na Dkt. Tulia leo kafanya shuhuli ya kuwasilisha utendaji wa kazi kwa wajumbe wa mkutano mkuu wilaya vile ndivyo mbunge anatakiwa kufanya, tulia mfundishe mbunge mwenzako jinsi ya kufanya siasa za kujenga jumuiya na sio siasa za ushangingi. Yaani ilikuwa ni mipasho kwa kweli.

Badilika mahundi , watu wanafurahia pesa zako kwa ajili ya dhiki lakini wanakuchamba ,na wanajua ulisha sema wanawake ni pesa tu hivyo wanakuchora , ipo siku utanishukuru we endelea kujitutumua mama Dangote kama unavyo jiita kwa fedha za ufisadi, tena za wavuja jasho la taifa hili.

Jirekebishe
Kabla ya kuandika andiko lako ungesema na Moyo wako kwa utulivu kwanza.

Ndani humo unasema unapenda Maryprisca Mahundi Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Mbeya aijenge Jumuiya imara.

Hapo bila shaka kwasababu ya hasira zako umejifunika blanketi na kwa makusudi hujataka kusema kuwa Mbunge huyo anaijenga Jumuiya hiyo katika Maendeleo ya vitu na Maendeleo ya watu.

Katika Maendeleo ya Watu Mbunge huyo anachangia ujenzi wa nyumba za Makatibu wa UWT Kila Wilaya na pale Chunya walishaanza ujenzi.

Mbunge huyo anatoa mitaji kwa Jumuiya hiyo ambapo niyolee mfano katika Wilaya Moja tu kwanza yaani Chunya ambako aliwanunulia makarasha kwa ajili ya dhahabu, unataka afanyeje?

Katika Maendeleo ya watu tangu Mwaka jana anawapa mitaji wanawake Kila mmoja mtaji wake. Unataka afanyeje?

Katika kumpunguzia gharama za kuni na mkaa Mwanamke wa Mkoa wa Mbeya, Kila Mjumbe anapewa jiko la gesi huku akihimiza utunzaji wa Mazingira na anagawa Miche ya maparachichi.

Kwenye Umoja na mshikamano amekuwa akihimiza wanawake kupendana na kufanya kazi za ujasiriamali Ili wawe smart katika suala la uchumi. Ulitaka afanyeje?

Katika Utekelezaji wa Ilani siku ya Desemba 23 Mwaka huu ameeleza namna miradi ya Maendeleo inavyofanywa Mkoani Mbeya ikiwemo ujenzi wa miradi ya Maji zaidi ule mradi wa chanzo cha mto Kiwira inayolenga kumkomboa Mwanamke na jamii ya Wana Mbeya. Ulitaka afanyeje?

Je kosa la Mahundi ni kuwaweka pamoja wanawake wa UWT Mbeya?

Uongozi ni kuatamia watu siyo kutawanya na ndicho anachofanya Mheshimiwa Mahundi Mkoani Mbeya. Na nadhani ndiyo tishio lako maana haujawahi kuona afanyavyo Mahundi.

Popote ulipo Mheshimiwa Mahundi songa mbele na wanawake wote wa Mkoa wa Mbeya yaache magugu na ngano vimee pamoja.
 
Umekosa Kazi kipindi hiki Cha likizo umeamua kuja na kihoja hiki? Kwanza kabla sijakutwisha majibu why umeogopa kutumia account yako ya kipindi kile? Hahahaha..... nyie ma abroad mna shida sana.

_Hakuna kipindi ambacho UWT Mbeya wanafuraha kama kipindi hiki. Wanafuraha Kwa kuwa viongozi wao wanafikika na wanajibu hoja na haja za UWT Mkoa wa Mbeya Kwa wakati.

_Mhandisi Mahundi amekuwa kipenzi Cha Wanawake wa mbaya Kwa kuwa muda ambao yupo Mbeya yupo busy kusikiliza kero za Wanawake bila kujali waliomuunga mkono au ambao hawakumuunga mkono.

_Unapokuwa Mbunge LAZIMA uwe na akili na ujue kuandika maandiko yatakayosaidia kupata mahitaji ya unaowaongoza na kuwavusha. Ushujaa na uhodari wa kiongozi ni kuonyesha njia na kutatua kero za anaowaongoza. Mahundi anafanya hivyo Kwa vitendo ndiyo maana mumeanza kulia Lia. Ndo kwanza mwaka wa pili, ikiwa minne LAZIMA mkimbizwe milembe.

_Sikia wewe, ni Mwanamke yupi wa UWT anayeweza kumbeza Mahundi ambaye ametoa ndoana Kwa UWT?; Wanawake wametoa ushuhuda mtu alipewa mtaji wa 5Ok Leo ana Kuku 60, wengine wana gunia 6 za maharage, huyu anamchukia vipi Mahundi? Mahundi ambaye amewahamisha Wanawake kutumia Kuni na kuwapa majiko ya gesi? Au yupi?

_Kupongeza ni kawaida Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu kuonyesha furaha ya jambo. Ipi nongwa Kwa UWT kuwapongeza viongozi?"
_Tofautisha majukumu ya Dkt Tulia na MHANDISI Mahundi. Mmoja ni Mbunge wa Jimbo anayewajibika kusoma utekelezaji wa Ilani Kwenye Jimbo lake na Mwingine ni Mbunge wa Wanawake anayewajibika Kwa UWT.

_Acheni wivu. Wambieni watu WENU wafanye Kazi Kwa bidii na Maarifa, watu watawapima Kwa hayo. Umbea haijawahi kumfikisha mtu peponi zaidi ni kwenye ni kwenye ziwa la moto.

Chapa Kazi Mahundi achana na Hawa wanaojaribu kutengeneza ajenda za kukurudisha nyuma.
Wewe ni mwandishi wa Habari Chawa kabisa , nani hakufahamu mbeya wewe? Yaani ndo upumbavu wenu mwanaume mzima ukisha pewa visenti mnasifia mpaka ujinga. Katika waandishi Na wewe mwandishi wewe, wewe si Chawa tu. Soma vizuri andiko uelewe acha kufandia treni kwa mbele. Nyie ndo waharubifu wakubwa wa viongozi Na mpo kimaslahi hampendi kuwaambia ukweli. Peleka upambe wako huko
 
Kabla ya kuandika andiko lako ungesema na Moyo wako kwa utulivu kwanza.

Ndani humo unasema unapenda Maryprisca Mahundi Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Mbeya aijenge Jumuiya imara.

Hapo bila shaka kwasababu ya hasira zako umejifunika blanketi na kwa makusudi hujataka kusema kuwa Mbunge huyo anaijenga Jumuiya hiyo katika Maendeleo ya vitu na Maendeleo ya watu.

Katika Maendeleo ya Watu Mbunge huyo anachangia ujenzi wa nyumba za Makatibu wa UWT Kila Wilaya na pale Chunya walishaanza ujenzi.

Mbunge huyo anatoa mitaji kwa Jumuiya hiyo ambapo niyolee mfano katika Wilaya Moja tu kwanza yaani Chunya ambako aliwanunulia makarasha kwa ajili ya dhahabu, unataka afanyeje?

Katika Maendeleo ya watu tangu Mwaka jana anawapa mitaji wanawake Kila mmoja mtaji wake. Unataka afanyeje?

Katika kumpunguzia gharama za kuni na mkaa Mwanamke wa Mkoa wa Mbeya, Kila Mjumbe anapewa jiko la gesi huku akihimiza utunzaji wa Mazingira na anagawa Miche ya maparachichi.

Kwenye Umoja na mshikamano amekuwa akihimiza wanawake kupendana na kufanya kazi za ujasiriamali Ili wawe smart katika suala la uchumi. Ulitaka afanyeje?

Katika Utekelezaji wa Ilani siku ya Desemba 23 Mwaka huu ameeleza namna miradi ya Maendeleo inavyofanywa Mkoani Mbeya ikiwemo ujenzi wa miradi ya Maji zaidi ule mradi wa chanzo cha mto Kiwira inayolenga kumkomboa Mwanamke na jamii ya Wana Mbeya. Ulitaka afanyeje?

Je kosa la Mahundi ni kuwaweka pamoja wanawake wa UWT Mbeya?

Uongozi ni kuatamia watu siyo kutawanya na ndicho anachofanya Mheshimiwa Mahundi Mkoani Mbeya. Na nadhani ndiyo tishio lako maana haujawahi kuona afanyavyo Mahundi.

Popote ulipo Mheshimiwa Mahundi songa mbele na wanawake wote wa Mkoa wa Mbeya yaache magugu na ngano vimee pamoja.
Pumbavu lingine hilo. Yaani tatizo la mbunge wetu mipambe yake mijinga haijui kujenga hoja masikini. Amezungukwa Na vilaza wa mwisho wanacho weza ni ujinga, upambe Na umalaya. Endeleeni kumuomba awape vocha mje wote vichawa vyake Na vikunguni vyote. Meseji umefika mtaandika magazeti mpaka mkome. Wajengeni viongozi wenu sio uchawa Na kumpamba pamba tu.
 
Pumbavu lingine hilo. Yaani tatizo la mbunge wetu mipambe yake mijinga haijui kujenga hoja masikini. Amezungukwa Na vilaza wa mwisho wanacho weza ni ujinga, upambe Na umalaya. Endeleeni kumuomba awape vocha mje wote vichawa vyake Na vikunguni vyote. Meseji umefika mtaandika magazeti mpaka mkome. Wajengeni viongozi wenu sio uchawa Na kumpamba pamba tu.
Itakuwa vema kama utakuwa unajibi hoja nilizoandika kuliko unavyotaka kuaminishwa umma kuwa Maryprisca Mahundi ni kama hafanyi lolote katika kuiimarisha UWT Mbeya.
 
Back
Top Bottom