Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuanze na wewe mwenye upo upande gani mwajiliwa au mfanyabiashara?Inashangaza sana kuona nchi iliyobarikiwa rasilimali kibao kukuta wafanya biashara waliotoboa ni wachache, WHY?
Mbaya zaidi karibu top 20 wote ni wageni waarabu na wahindii kina Bakhresa, Mo, GSM. bado nawaaita wageni sababu huwa wanaishi kivyao, huoana wao kwa wao, huzikana wao kwa wao, si watu wa kujichanganya sana na sisi watanzania wenye asili ya Kiafrika.
Tukija kwa wafanyaabiashara waliofanikiwa wenye asili zetu ni wachache sana waliotoboa.
Ukienda maeneo yanayosifika kuishi watu wanaojiweza si ajabu ukakuta wafanyabiashara wana nyumba nzuri zaidi kuliko wengine lakini idadi yao kwenye hayo maeneo ni ndogo, wengi waliojenga ni waajiriwa, mfano ukienda osyter bay, mbezi, upaanga, n.k. unawaeza kuta katika nyumba 100 ni 20 tu ndizo za wafanyabiashara.
😂😂😂😂😂Hii research ndo sijaielewa vizuri!. Hiv unajua muajiriwa wa aina gani anawez kumiliki nyumba hayo maeneo?.
Hizo apartments nzur masaki, oyster bay na maeneo mengine ni za akina nan? Waajiriwa au wafanyabiashara?Inashangaza sana kuona nchi iliyobarikiwa rasilimali kibao kukuta wafanya biashara waliotoboa ni wachache, WHY?
Mbaya zaidi karibu top 20 wote ni wageni waarabu na wahindii kina Bakhresa, Mo, GSM. bado nawaaita wageni sababu huwa wanaishi kivyao, huoana wao kwa wao, huzikana wao kwa wao, si watu wa kujichanganya sana na sisi watanzania wenye asili ya Kiafrika.
Tukija kwa wafanyaabiashara waliofanikiwa wenye asili zetu ni wachache sana waliotoboa.
Ukienda maeneo yanayosifika kuishi watu wanaojiweza si ajabu ukakuta wafanyabiashara wana nyumba nzuri zaidi kuliko wengine lakini idadi yao kwenye hayo maeneo ni ndogo, wengi waliojenga ni waajiriwa, mfano ukienda osyter bay, mbezi, upaanga, n.k. unawaeza kuta katika nyumba 100 ni 20 tu ndizo za wafanyabiashara.
U have a point hiyo pia ina maanisha bado mazingira ya biashara siyo mazuri, na wizi wa mali ya uma umekithiri , ukichunguza vipato vya hao waajiriwa na thamani za hizo nyumba haviendaniInashangaza sana kuona nchi iliyobarikiwa rasilimali kibao kukuta wafanya biashara waliotoboa ni wachache, WHY?
Mbaya zaidi karibu top 20 wote ni wageni waarabu na wahindii kina Bakhresa, Mo, GSM. bado nawaaita wageni sababu huwa wanaishi kivyao, huoana wao kwa wao, huzikana wao kwa wao, si watu wa kujichanganya sana na sisi watanzania wenye asili ya Kiafrika.
Tukija kwa wafanyaabiashara waliofanikiwa wenye asili zetu ni wachache sana waliotoboa.
Ukienda maeneo yanayosifika kuishi watu wanaojiweza si ajabu ukakuta wafanyabiashara wana nyumba nzuri zaidi kuliko wengine lakini idadi yao kwenye hayo maeneo ni ndogo, wengi waliojenga ni waajiriwa, mfano ukienda osyter bay, mbezi, upaanga, n.k. unawaeza kuta katika nyumba 100 ni 20 tu ndizo za wafanyabiashara.
Ukichunguza kuna watumishi wa umma wengi wamenunua apartments hasa wa tra huku takukuru wanatoa macho tu, mimi namfahamu mmoja kanunua juzi tu wa traHizo apartments nzur masaki, oyster bay na maeneo mengine ni za akina nan? Waajiriwa au wafanyabiashara?
Mpumbavu huyu jamaa ostabey inamilikiwa na tycoon tu wengi wao ni watanzania waishio nje ya nchi na wachache wa ndani ndio wakina moHii research ndo sijaielewa vizuri!. Hiv unajua muajiriwa wa aina gani anawez kumiliki nyumba hayo maeneo?.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kumanishaa kuwa daktari labda auze Figo za watu ndio angalau anaweza Jenga chumba kimoja masaki mkuu.. EtcMpumbavu huyu jamaa ostabey inamilikiwa na tycoon tu wengi wao ni watanzania waishio nje ya nchi na wachache wa ndani ndio wakina mo
Hata dactari anayelipwa mshahara milioni 5 kwa mwezi hawezi kuishi masaki labda a force wizi.
Na bandama kabisa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kumanishaa kuwa daktari labda auze Figo za watu ndio angalau anaweza Jenga chumba kimoja masaki mkuu.. Etc
Kudadeki [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kumanishaa kuwa daktari labda auze Figo za watu ndio angalau anaweza Jenga chumba kimoja masaki mkuu.. Etc
Pia usisahau ukichunguza wafanyabiashara waliotoboa wapo majambazi, matapeli, majangili, wauza sembe, n.k. ni aidha walipatia mitaji huko ama wanatakatisha pesa zao chafu kwenye biashara halaliU have a point hiyo pia ina maanisha bado mazingira ya biashara siyo mazuri, na wizi wa mali ya uma umekithiri , ukichunguza vipato vya hao waajiriwa na thamani za hizo nyumba haviendani