Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,580
Utakua hauko serious baba angu.Boss, afadhali hata hao walioiba. Kurushiwa hela za madafu kama mbwa ni zaidi ya dharau. Afadhali zingekuwa ni KES. Yaani wanahabari wanataka kuuana kwasababu ya makaratasi ambayo yamefanyiwa tie and dye? 😀
Yani wanajeshi watukufu wa taifa lenye uchumi wa Kati KDF wanaiba mkate jamaniiiii ambao huku kwetu ht 2000 haufiki ??
Mkate bro are you serious indeed mlinzi wa Taifa anayelipwa na serikali mshahara na marupurupu juu anaiba mkateeeee??!!
Hii kweli shughuli