Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mara zote niliwapinga sana wale ambao walishangaa timu mbovu ya Yanga inavyoongoza ligi kuu , lakini leo nimeona namna inavyobebwa na ninaamini hii timu huenda imefika hapo ilipo kwa kubebwa , wanacheza faulo za hovyo lakini wanaachwa tu ! hakuna kipyenga wala maonyo yoyote ! kubwa kuliko yote Shishimbi kaudaka mpira ndani ya box lakini mwamuzi kajifanya kipofu !
Hakika kwa mwendo huu mpira wa bongo hautafika popote .
Hakika kwa mwendo huu mpira wa bongo hautafika popote .