Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Hili ndo bus linalowabeba Yanga na kuwapeleka uwanjani pale kuchukua point 3 zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mateso unayojibebesha yatakusababishia kifo mapema....Goli la yanga ni offside, ruvu wamenyimwa penalt mbili za wazi. Mbeleko fc
Mtateseka sana msimu huuRuvu shooting wamenyimwa penati 2 za wazi kabisa. Sijui refa alikuwa wapi. Hii ndio yanga mkuu, wanaaiita timu ya serikali.
Kwa ajili ya kubebwaTimu ya Yanga ya Tanzania,ndiyo inayoongoza Ligi ya Nchi hiyo kwa tofauti kubwa ya alama dhidi ya wapinzani wao!
Umeandika kishabiki sana,hivi shishimbi kaudaka kweli ule mpira!?
Labda nikwambie usichokijua Kuhusu Yanga, ni kweli Mpira wao haufurahishi sana kwa kuangalia. Lakini wanatumia vizuri nafasi wanazozipata mchezoni. Pili, wachezaji wamechoka kwa sababu ya kucheza mechi mfululizo na ndio maana Zahera anafanya ujanja wa kuwachezesha wachezaji wake kwa ku alternate. Yanga wanatakiwa kumshukuru sana Kocha Mwinyi zahera kwa kucheza na saikolojia za wachezaji na kuwapa hamasa hasa kutokana na hali yao kiuchumi otherwise muda huu tungekuwa tunazungumzia kukwepa kushuka Daraja.Mara zote niliwapinga sana wale ambao walishangaa timu mbovu ya Yanga inavyoongoza ligi kuu , lakini leo nimeona namna inavyobebwa na ninaamini hii timu huenda imefika hapo ilipo kwa kubebwa , wanacheza faulo za hovyo lakini wanaachwa tu ! hakuna kipyenga wala maonyo yoyote ! kubwa kuliko yote Shishimbi kaudaka mpira ndani ya box lakini mwamuzi kajifanya kipofu !
Hakika kwa mwendo huu mpira wa bongo hautafika popote .
Mpira magoli sio robo wala 1/2 uwanja.second half yanga inapigiwa almost nusu uwanja , hii timu kiukweli hamna kitu , nadhani tatizo ni mishahara
Unafaa kuwa refa, pia unaweza kuizikatia rufaa hizo penati muda bado upo.Ruvu shooting wamenyimwa penati 2 za wazi kabisa. Sijui refa alikuwa wapi. Hii ndio yanga mkuu, wanaaiita timu ya serikali.
Hapo shemela ulichemka.Mara zote niliwapinga sana wale ambao walishangaa timu mbovu ya Yanga inavyoongoza ligi kuu , lakini leo nimeona namna inavyobebwa na ninaamini hii timu huenda imefika hapo ilipo kwa kubebwa , wanacheza faulo za hovyo lakini wanaachwa tu ! hakuna kipyenga wala maonyo yoyote ! kubwa kuliko yote Shishimbi kaudaka mpira ndani ya box lakini mwamuzi kajifanya kipofu !
Hakika kwa mwendo huu mpira wa bongo hautafika popote .
Hawa si ndio wamesajili Tom Ulimwengu?Bora sasa Yanga tumepata wa kumshangilia na kuwakata kilimilimi Simba kwenye kombe la mabaingwa
1. Yalikuja Mbabane yakawa na nembo nyekundu (simba B) hatukuwashangilia wala kuwapa mbinu
2. Yakaja ma nkana ikawa kila kitu yanafanana na simba kuanzia mavazi hadi uchezaji wa slow motion tukawachunia
3. Sasa wamekuja ambao wanavaa jezi zenye rangi ya heshma na tutawashangilia!!!!!
View attachment 983760