Aibu: Yanga inabebwa Taifa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mara zote niliwapinga sana wale ambao walishangaa timu mbovu ya Yanga inavyoongoza ligi kuu , lakini leo nimeona namna inavyobebwa na ninaamini hii timu huenda imefika hapo ilipo kwa kubebwa , wanacheza faulo za hovyo lakini wanaachwa tu ! hakuna kipyenga wala maonyo yoyote ! kubwa kuliko yote Shishimbi kaudaka mpira ndani ya box lakini mwamuzi kajifanya kipofu !

Hakika kwa mwendo huu mpira wa bongo hautafika popote .
 
Umeandika kishabiki sana,hivi shishimbi kaudaka kweli ule mpira!?
 
second half yanga inapigiwa almost nusu uwanja , hii timu kiukweli hamna kitu , nadhani tatizo ni mishahara
 
Unaposema hii timu hamna kitu unamaanisha nini mimi nijuavyo kwenye mechi zinatafutwa pointi 3 na timu pendwa Yanga ina pointi nyingi kuliko timu yoyote kweli ligi husika
iko juu kwa kubebwa tu
 
Acha Wabebwe Ndiyo League
Chura Churani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…