Aibuuu Emmanuel Mbasha amtongoza Carry aambulia cha mbavu

Aibuuu Emmanuel Mbasha amtongoza Carry aambulia cha mbavu

Hivi kumbe huyo ni jinsia ya pili,mi nilidhani ni Wa kiume aisee....Maana siku Hizo kuna wanaume Wanabehave like a women
 
Mtoa mada huyo binti hapo si mtoto.. Pia yakupasa ufahamu kutongoza kwa mwanamume rijali si ajabu na wala si aibu.. Hapa aliyefanya vibaya ni huyo aliyeweka mambo binafsi hadharani kutongoza na kutongozwa ni sehemu ya maisha yetu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sura ya plastic... Ukiondoa hayo makandiko usoni unaweza kukimbia... Macho yamepishana, lips kulia na kushoto tofauti, soap dish za kuua mtu

Anyways, labda ndio kinachompa kibri ya kupakazia watu
Na sisi tunaochapa nyembu ili mradi tu ni jinsia ya "ke" bila kujali sura nzuri au mbovu/imepinda tunakomenti uchochoro UPI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa mume wa Frola Mbasha aambulia aibu ya mwaka baada ya kuhangaika kwa muda mrefu kupata penzi la DJ Carry au Carrymastori kama anavyojulikana na wengi .
Carry ametishia kuanika chats zao zote ambazo Emma alikuwa anamtumia Carry kulilia penzi la Carry licha ya mara kadhaa Carry kumkataa lakini jamaa amekuwa king'ang'anizi mpaka kero.
Hii ni aibu kwa kweli ,yani jitu zima badala ya kuhangaika na watu wa rika lake anahangaika na vitoto mpaka anaonekana kituko .View attachment 1073235View attachment 1073236
mtoto gan huyo minyonyo imeshashuka kama malapa
 
Mambo ya mikoani bwana, ah sasa huyo bi dada huku mjini si anaweza akakaa ata miaka sita ajatongozwa?
 
Back
Top Bottom