mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Sasa huyo mmoja ndio atabadilisha picha halisi ya hilo Bunge?Safi sana, Mungu akubariki, ...
Sasa huyo mmoja ndio atabadilisha picha halisi ya hilo Bunge?
Kumbe nafsi zinawsuta kuona mmebaki peke yenu!!
Kwanini mligombea? Mbowe kwani asipokuwa mbunge na wengine hawatakiwi kuwa wabunge?Wamfutie uanachama fasta asituletee ngonjera wakati huu wa maombolezo
Yule Kessy chali, nimefurahi sana kuona yule jamaa CCM wamemchinjia baharani, nikirudi Tanzania Inshaallah ntafika hilo jimbo nimuone aliyemuangusha KessySafi sana, Mungu akubariki, ...
Uwakilishi bubu una faida gani? Atasikilizwa na nani bungeni akiwa peke yake? Hatakuwa na uwezo wa kupinga lolote lile liletwalo bungeni, sioni faida yeyote ile zaidi ya mafao tu!kama uchaguzi hautarudiwa sioni mantiki ya yeye kukubali wazo la kukataa ubunge, kawakilishe wananchi wako...huku tukiipambania demokrasia...ana familia na maisha ya kuishi licha ya gharama alizotumia
Sa hii ndo mnatamani upinzani.Safi sana, Mungu akubariki, ...
Huu ndo ukweli, namjua AIDA na nimekuwepo Namanyere tangu siku ya upigaji kura hadi kutangazwa matokeo, ilikuwa mbinde kweli kweli. Dada kapambana na majizi kwa nguvu hadi kunyang'anyana fomu za matokeo na Msimamizi wa kata ambazo baadaye zilijulikana ni feki. Mabomu ya mshindo zaidi ya 30 yamepigwa eneo la Halmashauri ya Nkasi kufukuza Wafuasi wake lakini walinawa maji na kujifunika vitambaa puani mapambano yakaendelea...huyu dada aende bungeni.
..yeye na wananchi waliomchagua wameutolea jasho ushindi huo.
..kushiriki kwake bungeni hakuondoi ukweli kuhusu dhuluma kubwa iliyotokea ktk uchaguzi mkuu.