Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Wako Wapi Wenyewe!!😁😂✍Ngoja waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako Wapi Wenyewe!!😁😂✍Ngoja waje
Huyu binti aende akawatete wananchi wake. Mbona wakati ule palikua Dr Slaa, Zitto Kabwe na wengine hawakufika 5, Bunge lilikua moto tuu.
Hutu mmoja na was CUF watapiga kelele tuu na kuitoa usingizini CCM.
Riziki yake huyu mmbuge muachieni. Nimaisha yake na ajira yake. Asipoenda munaongeza wasiokua na ajira. Muacheni akapambane na asionewe jamani, muacheni mwana mama aendele.
Misimamo ya kupambana na CCM iendele nje ya bunge. Hujuma imetendeka kama kunaushahidi pelekeni mahakamani. Na tupambane kudai katiba mpya kwa marithiano. Wakati mwingine, tutumie akili na sio nguvu kudai haki.
CCM niwaoga sana, na wanapenda sana kutumia polisi na vitisho, CHADEMA na upinzani mzima, tumieni akili kupamba na adui mwenye dola.
Pamoja na kwamba naipenda namkubali sana Lisu, lakini sijauubaliana nae kweye hili la kusema kwamba huyo Mbunge binti asubiri kwanza hadi chama kitakapo toa tamko. Wakati yeye tayari amepata hifadhi Ujerumani na tayari anafanya taratibu za kuondoka na kurudi Ubelgiji.
Yaani nilivyo tafasiri kwa haraka ni kwamba Lisu anatoa msimamo wa chama, wakati tayari anapo pa kukimbilia ilhali anao watolea tamko chama kimewaacha watajisumbukia...