Aidan Msigwa amfunika Nasibu abdul(Diamond Platinumz) kwa utajiri

Aidan Msigwa amfunika Nasibu abdul(Diamond Platinumz) kwa utajiri

Mike Moe

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
319
Reaction score
335
Mchimbaji mdogo wa madini ya dhahabu aidan msigwa nadhani mpaka sasa atakua amemfunika ndugu diamond platinumz kwa utajiri baada ya kufanikiwa kusajili na kuuza madini ya dhahabu kilo 111.82 yenye thamani za kitanzania shilingi bilioni 20.11 katika soko la madini chunya
 
Mimi sio mchumi lakini mwenye mali yenye thamani ya laki na mwenye milioni keshi mwenye mali yupo salama kiuchumi mara kadhaa kuliko mwenye keshi.
 
images.jpeg
 
Mimi sio mchumi lakini mwenye mali yenye thamani ya laki na mwenye milioni keshi mwenye mali yupo salama kiuchumi mara kadhaa kuliko mwenye keshi.
Maybe unaweza kuwa uko sahihi lakini ngoja waje wachumi
 
Hua hao wasanii anawaita kule camp, kuburudisha wafanyakazi wake weekend kadhaa, hakuna msanii hajampeleka kule, mabasi ya achimwene ni yakwake pesa anayo kitambo, kule camp ana vijumba safi, na wafanyakazi anao kama 300 wote anawalipa hadi nssf anawachangia, mfagiaji pale analipwa 250k per month, marehemu Sauli alikuaga mfanyakazi wake zamani kabla ya kujitegemea, Kwa mkinga kaamua kutangaza hiyo tu lakini yuko njema kitambo
 
Nilifikiri jamaa ndio kapoga
Hua hao wasanii anawaita kule camp, kuburudisha wasanii wake weekend kadhaa, hakuna msanii hajampeleka kule, mabasi ya achimwene ni yakwake pesa anayo kitambo, kule camp ana vijumba safi, na wafanyakazi anao kama 300 wote anawalipa hadi nssf anawachangia, mfagiaji pale analipwa 250k per month, marehemu Sauli alikuaga mfanyakazi wake zamani kabla ya kujitegemea, Kwa mkinga kaamua kutangaza hiyo tu lakini yuko njema kita
Mimi nikajua labda jamaa ndio kapiga bingo for the first time kumbe ni mbaya toka zamani
 
Nilifikiri jamaa ndio kapoga

Mimi nikajua labda jamaa ndio kapiga bingo for the first time kumbe ni mbaya toka zamani
Huyo hiyo kwake ni ndogo kitambo, anapeleka dhahabu marekani, austaralia kitambo sana, mwenye mabasi ya sauli alikua mfanyakazi wake enzi hajajipata na yeye
 
Huyo hiyo kwake ni ndogo kitambo, anapeleka dhahabu marekani, austaralia kitambo sana, mwenye mabasi ya sauli alikua mfanyakazi wake enzi hajajipata na yeye
Halafu anatokea tako anajitapa kwenye tiktok na Inasgram anakashifu watu na kujiita tajiri .
Cool dudes kama huyo jamaa ndio matajiri walivyo ,si mbwembwe na maneno ya khanga
Tajiri huwa hajitangazi
 
Wachimbaji madini wana pesa , waliozunguka migodini wanajua hili , kama imezungumza machimbo ya nchi hii utaelewa ,tena mayanki tu , unakuta ana plant ,migodi na assets kibao.
Tena wengi ukiwaona huwezi dhania ,baadhi wanaonekana primitive kabisa as if sijui ni wakulima wa wapi
 
111.82 kg ni sawa na gunia la mahindi lililoshindiliwa.
Kama mchimbaji mdogo anaweza kujaza dhahabu gunia moja maana yake ni kwamba nchi imejaa rasilimali za asili ila ina viongozi matahira
 
HIMARS kuna ukweli hapa
Hapo ukiweka running costs, unakuta faida mil 500 tu.

111.82 kg ni sawa na gunia la mahindi lililoshindiliwa.
Kama mchimbaji mdogo anaweza kujaza dhahabu gunia moja maana yake ni kwamba nchi imejaa rasilimali za asili ila ina viongozi matahira
Japokuwa dhahabu zenyewe ukiziweka kwenye hilo gunia la mahindi hazijai
 
111.82 kg ni sawa na gunia la mahindi lililoshindiliwa.
Kama mchimbaji mdogo anaweza kujaza dhahabu gunia moja maana yake ni kwamba nchi imejaa rasilimali za asili ila ina viongozi matahira
Hapana. Dhahabu nzito kinoma., kwahiyo volume kidogo uzito mkubwa.

Simple Mathe, from:

Density= Mass/Volume

Density ya Gold ni 19.3 (g/cm3) au 19,320 (kg/m3)

Mass tuliopewa ya Aidan 111.82 (kg)
Volume=??

Volume = Mass/Density
Vol = 111.82 / 19320
Vol = 0.005787784679 m3
Ukigeuza kwa lita ni 5.7L

Lita 5.7 ya Gold
 
Wanagombania ndoto ya Utajiri mamba moja duniani.
 
Back
Top Bottom