Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Tukisema Hakuna mnachojua muwe mnakubali. Tukisema mnaojiita Wachambuzi wa soka Tanzania ni washangiliaji kama alivyo Abdalla Saliboko wa Tandale na Oscar Maganga wa Sangamwalugesha muwe mnakaa kimya maana media zinazowalipa zinapoteza hela bure kulipa Wachambuzi Wenye hadhi Sawa na shabiki wa kawaida kiuchambuzi.
Ni zaidi ya SAA 12 tangu ligi Kuu ya NBC itamatike na kuzua utata wa Nani Mfungaji kiongozi Kati Said Ntibanzokiza na Fiston Mayele baada ya wote Jana kufikisha goli 17. Lakini Hakuna hata mchwambuzi mmoja aliyekuja na jibu sahihi kanuni zinasenaje? Wengine wanadiriki kusema sasa Kamati ya tuzo inakwenda kukaa ili itunge kanuni na kuja na jibu la Nani anastahili.
Hii itakuwa ni miongoni mwa maajabu ya soka. Kwamba Jambo litokee, ndo wanasheria wakae kutunga sheria/kanuni inayotoa majibu ya suala linalobishaniwa? Kama kweli ni wachambuzi tuonyesheni kanuni zilizopo zinasema nini?
Na kama hazisemi chochote kazi yenu katika kipengele cha kukosoa mliamwachia Nani? Basi njooni huku upande wa mashabiki tukae tusubiri wapishi wa sheria wakae watupatie msosi uliochemshwa Kwa dharura tubaki tunaharisha Kwa zamu.
Ni zaidi ya SAA 12 tangu ligi Kuu ya NBC itamatike na kuzua utata wa Nani Mfungaji kiongozi Kati Said Ntibanzokiza na Fiston Mayele baada ya wote Jana kufikisha goli 17. Lakini Hakuna hata mchwambuzi mmoja aliyekuja na jibu sahihi kanuni zinasenaje? Wengine wanadiriki kusema sasa Kamati ya tuzo inakwenda kukaa ili itunge kanuni na kuja na jibu la Nani anastahili.
Hii itakuwa ni miongoni mwa maajabu ya soka. Kwamba Jambo litokee, ndo wanasheria wakae kutunga sheria/kanuni inayotoa majibu ya suala linalobishaniwa? Kama kweli ni wachambuzi tuonyesheni kanuni zilizopo zinasema nini?
Na kama hazisemi chochote kazi yenu katika kipengele cha kukosoa mliamwachia Nani? Basi njooni huku upande wa mashabiki tukae tusubiri wapishi wa sheria wakae watupatie msosi uliochemshwa Kwa dharura tubaki tunaharisha Kwa zamu.