Mtaalam JF-Expert Member Joined Oct 1, 2007 Posts 1,371 Reaction score 251 Dec 23, 2007 Thread starter #21 n samahani nilisahau...kuhusu asili ya hilo neno kusema kweli sijui sana sana najua lapenda kutumiwa kwenye kipindi flani cha redio ya Times FM bongo sijui if bado kipo chaitwa pillow talk
n samahani nilisahau...kuhusu asili ya hilo neno kusema kweli sijui sana sana najua lapenda kutumiwa kwenye kipindi flani cha redio ya Times FM bongo sijui if bado kipo chaitwa pillow talk
DZUDZUKU JF-Expert Member Joined Nov 8, 2012 Posts 3,909 Reaction score 2,115 Feb 6, 2014 #22 Ikiwa hivyo mambo ni magum basi, stori hiyo inafanana na ya mbu ambaye amenyonya damu ya mwathirika wa HIV. Sidhani kama stori ni ya kweli.
Ikiwa hivyo mambo ni magum basi, stori hiyo inafanana na ya mbu ambaye amenyonya damu ya mwathirika wa HIV. Sidhani kama stori ni ya kweli.