Aids(ukimwi)

Aids(ukimwi)

hongera, lkn tafuta njia nyingine kukupata, sio jf tu, wengine tunasoma kidgo na kutok, kwa hiyo ukurasas hu hauna kakika kuuoana tena

Hii ni elimu kwa wote siyo kwa ajili ya wanaoweza kutumia internet tu. Nina imani kuwa wanaoweza kutumia internet wanaweza pia kufikisha ujumbe kwa sehemu kubwa ya jamii. Pia hii siyo njia pekee iliyotumika kufikisha ujumbe kwa jamii inayotuzunguka. Zipo njia nyingine na anayepata hii elimu anakuwa anaweza kupata fursa ya kuuliza vizuri kama hajaelewa ili elimu kwa wale wasiyoipata direct iweze kuwafikia vizuri pia. Kwa kutaka kuuliza zaidi namba yangu inakuwa hewani muda wote. Shukrani
 
Wenye ukimwi nafuu hiyo

Hii ni muhimu kwa wanajamii wote siyo wenye UKIMWI pekee. Kama tunavyofahamu tatizo lolote katika jamii ni tatizo letu sote mfano katika jamii yetu hakuna hata mmoja ambaye anaweza kujitenga kuwa hajaguswa na tatizo la UKIMWI. Ni muhimu sote kupambana na yatokeayo
 
Nashukuru kwa wote mlioweza kutoa maoni chanya na kunisaidia kuweza kuwasaidia wengi waliokuwa na dukuduku pia nazidi kukaribisha maoni kwa walio nayo bado ili tuzidi kufikisha elimu kwa wengine
 
Gharama za Cordy active ni 66000/-, Reishi ni 85000/-, CA+FE+ZI Plus ni 51000/- na Golden Six ni 38000/=
Yeyote anayehitaji ushauri au swali anaweza kuniandikia kupitia ishealthy@hotmail.com pia napatikana kwa namba 0776491294

Hii nimei-like ili nipate muda wa kuipitia.
 
Can you put the price per bottle/ dosage please
 
Nimekuwa nikipata sms na email nyingi sana kuhusiana na dawa.
Napenda kuwakumbusha tena hizi siyo dawa bali ni food suppliments. Dawa ni zile ambazo matumizi yake huwa zinakuwa na madhara katika mwili japokuwa wengi hawafahamu. Mfano mtu anakuwa anahisi tatizo na kwenda mara moja Pharmacy kuchukua dawa na baada ya muda mfupi anahisi amepona lakini baada ya siku siyo nyingi anajikuta akirudia kufanya hivyo tena na tena. Ushauri ni kuwa ukiwa na tatizo nenda hospitalini uweze kugundua chanzo cha tatizo na namna ya kupata tiba. Mimi ukiniambia una tatizo lazima nikuulize kama ulishakwenda hospitalini kugundua chanzo cha tatizo na namna ulivyopata tiba.

Shukrani
 
Back
Top Bottom