kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
kama ni binti anajihusisha na kampeni za CCM huyu ni wakukimbia kabisa ndom inaweza kupasuka
Usissahau kuvaa condom tu , afya ni muhimUnataka kusema huwa wanafanywa nini huko wakati wa kampeni?
Mbona kuna wabunge wazuri tu wa viti maalum na mmoja wa ngara nilitaka kumtafuta mazee!
Ila mi sioni shida kwani gazeti kama sijalisoma hata kama ni la juzi kwangu mi ni jipya tu
Mbunge wangu wa viti maalum kutoka ngara ujue nakupenda
Sent using Jamii Forums mobile app
madem wanaoshiriki kampeni a harakati za chama wanatafunwa sana,niliwahi kumla mmoja alinifungua vitu vingi sana.Unataka kusema huwa wanafanywa nini huko wakati wa kampeni?
Mbona kuna wabunge wazuri tu wa viti maalum na mmoja wa ngara nilitaka kumtafuta mazee!
Ila mi sioni shida kwani gazeti kama sijalisoma hata kama ni la juzi kwangu mi ni jipya tu
Mbunge wangu wa viti maalum kutoka ngara ujue nakupenda
Sent using Jamii Forums mobile app
ni wa SUA mkuu we haujakitaja chuo chetu hapo
Ulikumbuka kuvaa condom , mkuu?madem wanaoshiriki kampeni a harakati za chama wanatafunwa sana,niliwahi kumla mmoja alinifungua vitu vingi sana.
SUA halafu ana tatoo , vaa condom 7....ni wa SUA mkuu we haujakitaja chuo chetu hapo
dah nitafanya mkuu
Kama aliwahi kupewa ukuu wa wilaya awamu iliyopita....AINA 15 ZA WANAWAKE AMBAO UKIKUTANA NAO UNAPASWA KUVAA CONDOM
1:Kama anatatoo......... Vaa condom
2:Kama anakunywa bia.....Vaa condom
3:Kama anazima simu ukiwa nae....... Vaa condom
4:Kama anafanya kazi baa au saloni.... Rafiki yangu vaa condom
5:Kama anamarafiki wengi Facebook...... Kaka condom
6:Kama anakuwa wakwanza kukuvua shati na kuchomoa dushelele lao..... Usizubae vaa condom
7:Kama anapenda chama cha siasa kinachopendwa na anampango wa kugembea uongozi.................Vaa condom
8:Kama anawowowo la kichina...... Usisahau kuvaa condom
9:Kama anakipini puani, kitovuni au kikuku mguuni....... Vaa condom mbili
10:Kama anasoma UDSM, UDOM, SAUTI, USHIRIKA, Au MZUMBE...... Kumbuka condom
11:Kama anasemaga wanaume wote ni sawa.... Tafadhali vaa condom
12:Kama hakuambiii vaa condom....Vaa condom
13:Kama anavaa suruali ...... Bro condom
14:Kama ananyoa kiduku na kuweka breach..........vaa Condom
15:Kama anatokwa na povu kwasababu ya post hii....... Vaa condom Tatu,
Ndugu yangu thamini afya yako na maisha yako[emoji120]
Hapo tayari ni too late...ulishakwisha. Unakumbuka shuka kumekuchaKama ukipima oil ukakuta haieleweki vaa kondom tena vaaa kondom
[emoji38][emoji38][emoji38]Na atakae comment tunavaa kondom ausio tena Mbili hahahh
hivi hilo jina wazazi walifikiria nini kukupa. linachekesha sana
AINA 15 ZA WANAWAKE AMBAO UKIKUTANA NAO UNAPASWA KUVAA CONDOM
1:Kama anatatoo......... Vaa condom
2:Kama anakunywa bia.....Vaa condom
3:Kama anazima simu ukiwa nae....... Vaa condom
4:Kama anafanya kazi baa au saloni.... Rafiki yangu vaa condom
5:Kama anamarafiki wengi Facebook...... Kaka condom
6:Kama anakuwa wakwanza kukuvua shati na kuchomoa dushelele lao..... Usizubae vaa condom
7:Kama anapenda chama cha siasa kinachopendwa na anampango wa kugembea uongozi.................Vaa condom
8:Kama anawowowo la kichina...... Usisahau kuvaa condom
9:Kama anakipini puani, kitovuni au kikuku mguuni....... Vaa condom mbili
10:Kama anasoma UDSM, UDOM, SAUTI, USHIRIKA, Au MZUMBE...... Kumbuka condom
11:Kama anasemaga wanaume wote ni sawa.... Tafadhali vaa condom
12:Kama hakuambiii vaa condom....Vaa condom
13:Kama anavaa suruali ...... Bro condom
14:Kama ananyoa kiduku na kuweka breach..........vaa Condom
15:Kama anatokwa na povu kwasababu ya post hii....... Vaa condom Tatu,
Ndugu yangu thamini afya yako na maisha yako[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app