Aina 15 za wanawake ambao ukikutana nao unapaswa kuvaa condom

Umesahau hizi

17. Kama ANAJIFUKIZA Vaa ndom
18. Kama anavuta sigara/bangi vaa ndom
Hahahaha nimeshindwa kupita kimya aiseee, hapo namba 17 si mchezo.
 
Reactions: BAK
Je ni wapi unaweza uchukulie poa usivae ikawa haina shida?

Tupeni na hyo list!
 
Kuti la mazoea humuangusha mgema,,

Ukimwi haupimwi kwa macho mkuu..
 
Ame qualify No. 1, 2, 3, 4, 9,12,13 na 15...dah....
 
Kama anauza mgahawani, plz kimbilia kwa mangi ununue kifaa😅😅😅😅
 
Hiyo namba 12 🤣
 
Ukimaliza kusoma uzi..kabla huja commet plz VAA
 
Hata kama tatoo iko kwenye chakula cha mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…