Aina 3 za blog zinazofaa kuanzisha 2021 ili kuongeza kipato

Aina 3 za blog zinazofaa kuanzisha 2021 ili kuongeza kipato

Badmantebwe

New Member
Joined
Sep 23, 2017
Posts
3
Reaction score
18
ukimiliki moja wapo kati ya blog zilizoelezewa kwenye makala hii ni rahisi kuingiza kipato kila mwezi
Blog ni nini?

Blogu ni aina ya tovuti ambayo inatoa taarifa za kila siku za tasnia Fulani, machapisho katika bloghuwekwa mara kwa mara ili kutoa taarifa husika za kila siku.

Taarifa hizi za kila siku zinaweza wekwa kwenye blog zinaweza zikawa habari, tetesi muziki na matukio.
Mfano wa blogu ni, michuzi blog.com, dj mwanga.com, tetesitz.com na milardayo.com


Kumiliki blog ni fursa nzuri kwa kijana wa Tanzania ambapo blog inakuwezesha kuingiza kipato kupitia matangazo ya internet , pia blog inakuingizia kipato kupitia madeal mabalimbali pia blog inakupa wadhifa katika jamii kwaa kumiliki blg husika.

Kwenye makala hii nitakupa mrejesho kuhusu aina ya blog zinazofaa kuanzishwa niche Tanzania (2020)

Aina hizi zinazingatia mambo yafuatayo

1. Kiwango cha ushindani
2. Gharama za kuanzisha
3. Urahisi wa kuiendesha
4. Kiasi cha mapato
5. Urahisi wa kuikuza (ku promote)
 
Sasa mkuu, mbona hujaeleza aina za blog badala yake umeainisha vitu vyakuzingatia kweny uandaaji wa blog!?
 
Back
Top Bottom