Aina 5 za aliens wanaowasiliana na dunia

VYOTE VIZURI NI VYA WEUPEEEE.ATOKEE YESU MWEUSI AU MUME MWEUSI SI NDIO KIAMA HICHO.MALAIKA WOTE WEUPE NA MUNGU BABA PIA MWEUPE.CHEZEA WEUPE WEWE.KILA KITU CHAO.
 
Shida kubwa ni maandiko, wenzetu waliandika sisi hatukuandika... lait kama tungeandika na kutunza kumbukumbu vizur tungekuwa na mitume na manabii kibao... na sisi tungekuwa na story zetu, tungeziita maandiko matakatifu
 
Afrika tupo wapi aliens mzungu, yesu mzungu,mtume moh'd mwarabu. Sasa sijui inakua vipi .....
 

Hivi kumbe ya Armstrong ilikuwa fiksi?
 

Haijawa clear kwamba kuna real Aliens na UFO wanaoexist ,lakini ushahidi na baadhi ya mambo upo wazi japo kuna kasoro na changamoto nyingi.
 

Karibu sana katika ulimwengu huru!.
Ninachopinga mimi ni nyie kusema kuwa kuna mtu/kitu mahala kinachoitwa mungu ambacho ndicho chanzo cha kila kitu hapa ulimwenguni!.Kwa sababu kakuna ushahidi wowowte wa uwepo wa huyo mungu! nadiriki kusema nyie ndo mmepotea kabisa.

..... Free ideas....
 
Usimchukulie Mungu kama object, na hapo ndio penye tatizo kwa matheist wengi kudhani kuwa Mungu ni sanamu au dubwana fulani hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…