Wanaogopa Africa waafrika wengi dkk 2 mbele hawashidwi kuwapiga beiKuna udanganyifu mwingi sana kwenye hawa viumbe kwakuwa wakati wote huonekana huko ulaya tuu
Sijasikia hata siku moja Alliens wameonekana uarabuni china wala Africa
Mugabe akawatimua na kuwapora mashambaHii ni habari mpya kwangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaogopa Africa waafrika wengi dkk 2 mbele hawashidwi kuwapiga bei
HahhahahaaaaMugabe akawatimua na kuwapora mashamba
Ni non-human UFO iliyoonekana na wanafunzi wengi katika eneo linaloitwa Ruwa huko Zimbabwe mwaka 1994.Hii ni habari mpya kwangu
VYOTE VIZURI NI VYA WEUPEEEE.ATOKEE YESU MWEUSI AU MUME MWEUSI SI NDIO KIAMA HICHO.MALAIKA WOTE WEUPE NA MUNGU BABA PIA MWEUPE.CHEZEA WEUPE WEWE.KILA KITU CHAO.Ulishawahi kujiuliza mbona Yesu na mudi wote walitoka mashariki ya kati?.Mbona hakuna mtume wala nabii mmoja aliyetoka America kusini,canada wala India.Mnona husemi kuna udanganyifu mwingi pia kwenye imani na dini zenu.
.......karibu katika ulimwengu huru.....
...free ideas...
Ok lakini unajua kuna Aliens na kuna UFO? Aliens ni viumbe vinavyosemekana kuishi ama kutoka sayari nyingine wakati UFO ni Unknown/unidentified Flying Objects na ndio usafiri wa AliensNi non-human UFO iliyoonekana na wanafunzi wengi katika eneo linaloitwa Ruwa huko Zimbabwe mwaka 1994.
Shida kubwa ni maandiko, wenzetu waliandika sisi hatukuandika... lait kama tungeandika na kutunza kumbukumbu vizur tungekuwa na mitume na manabii kibao... na sisi tungekuwa na story zetu, tungeziita maandiko matakatifuUlishawahi kujiuliza mbona Yesu na mudi wote walitoka mashariki ya kati?.Mbona hakuna mtume wala nabii mmoja aliyetoka America kusini,canada wala India.Mnona husemi kuna udanganyifu mwingi pia kwenye imani na dini zenu.
.......karibu katika ulimwengu huru.....
...free ideas...
Shida kubwa ni maandiko, wenzetu waliandika sisi hatukuandika... lait kama tungeandika na kutunza kumbukumbu vizur tungekuwa na mitume na manabii kibao... na sisi tungekuwa na story zetu, tungeziita maandiko matakatifu
hizo kamba tu za wamarekani ili waonekane super power hao alliens wameona marekani tu ndo sehemu ya kusurvive au kwa sababu bata nyingi pale las vegas sijawahi kusikia mrusi au mchina anaongelea kuhusu alliens.hizo ni movie tu za hollywood kama walivyotudanganya kuhusu safari ya mwezin ya neil armstrong
Haujajibu swali,hizi dini kila siku mnasema zimeundwa na wazungu na waarabu ili kututawala sie waafrika na ndiyo maana mnasema hakuna mtume mweusi(mwaafrika).
Sasa ndiyo maana tunauliza hivyo ili tujue kama suala hili nalo ni muendelezo wa wazungu kutunga mambo ili kututawala sie waafrika basi kama walivyobuni dini.
hahaha umeona eeeh mi nakodoa macho nipate chochote hapa lakini wapiii naona akili inajaa mzigo tuNgoja nikasake ugali wa mwanangu mie haya yana wenyewe!
Hiki unachojinasibu nacho kama ulimwengu Huru na free ideas nacho ni upuuzi mwingine na udanganyifu wa kiwango chake. ....hii ni self stated phenomenon isiyo na chembe ya ukweli wala ithibati yoyote
Huu ni ulimwengu wako wewe unaokuzunguka hapo ulipo, jaribu kutoka kwenye hilo duara lako uone kaka kuna kitu kama hicho
Usimchukulie Mungu kama object, na hapo ndio penye tatizo kwa matheist wengi kudhani kuwa Mungu ni sanamu au dubwana fulani hiviKaribu sana katika ulimwengu huru!.
Ninachopinga mimi ni nyie kusema kuwa kuna mtu/kitu mahala kinachoitwa mungu ambacho ndicho chanzo cha kila kitu hapa ulimwenguni!.Kwa sababu kakuna ushahidi wowowte wa uwepo wa huyo mungu! nadiriki kusema nyie ndo mmepotea kabisa.
..... Free ideas....
Alien hawezi kuwa mzungu ndio maana ameitwa AlienAfrika tupo wapi aliens mzungu, yesu mzungu,mtume moh'd mwarabu. Sasa sijui inakua vipi .....