Aina 5 za aliens wanaowasiliana na dunia

Noted with appreciation
 
Jibu lingine!
Ni kutokana na kujiuliza maswali kama hayo kwamba kwa nini sisi ni wanadamu na tumetoka wapi?,
Unawezaje kuthibitisha kuwa watu kipindi hicho walijiuliza wametokea wapi na jibu likawa ni kuna mungu? Na watu kama wamasai ambao hadi leo hawana idea hiyo unawazungumzia vp?
 
Kwa hiyo hadi nguo wanavaa!!! Wana viwanda vya nguo...??
 
Kuna udanganyifu mwingi sana kwenye hawa viumbe kwakuwa wakati wote huonekana huko ulaya tuu
Sijasikia hata siku moja Alliens wameonekana uarabuni china wala Africa

Utaambiwa hamna teknolojia ya kuwaona.
 
Kuna udanganyifu mwingi sana kwenye hawa viumbe kwakuwa wakati wote huonekana huko ulaya tuu
Sijasikia hata siku moja Alliens wameonekana uarabuni china wala Africa
eti walivyo waongo zaidi wanakwambia eti huenda sehemu yenye technology ya hali ya juu,katika mambo na uongo wote hapa tu wazungu uongo wao niliwakatalia kabisa
 
Swali ni kwanini msomi aamini hivyo?
 
That's the only pics claiming UFO being spotted/seeing in Zimbabwe
 
Mkuu mbona wikipedia nakutana na vitu vngine tofauti na maelezo yako
 
Mwenzenu nina imani haba kidogo kuhusu hili, kama kuna mtu ana uwezo wa kuniaminisha katika hili naomba msaada wake.
 
Afrika tupo wapi aliens mzungu, yesu mzungu,mtume moh'd mwarabu. Sasa sijui inakua vipi .....
BAHATI MBAYA SASA SHETANI WANAMCHORAGA MWEUSI
WAKATI ALITOKA HUKO HUKO MBINGUNI.
WHY HAWAMCHORI SHETANI MWEUPE
 
Kinachonipa hofu mimi ni kwamba hawa viumbe wote ni WAZUNGU
 
Samahani naomba nikuulize kuhusu huo ulimwengu huru,
Je mtu anavyofariki kwanza kipi hutoa roho yake? Huipeleka wapi? Na je huko inakuaje?

Au wenzetu mnaamini nini juu ya kifo?
Naomba unielimishe tafadhali.

Roho maana yake nini?.Kuna ushahidi gani kwamba kuna roho?.Hivyo ni vitu vya kufikirika kama ilivyo mungu,shetani,pepo,jehanam, n.k

Lazima ujue kwamba hakuna ushahidi wowote wa uwepo wa roho na wala kwamba eti mtu akifariki roho inatoka!.hayo ni mambo ya kufikirika no proofs!

Lazima ujue kifo ni nature ya mwanadamu,kwa hiyo kiumbe hai kina sifa ya kufa,kuzeeka,kuoza n.k.

Lakini hata kama sayansi haiwezi kujibu maswali magumu sana ambayo utauliza baada ya kusoma hili jibu,haimaanishi kwamba kuna mungu!.

Karibu katika ulimwengu huru!

...............Free ideas.......
 
Unawezaje kuthibitisha kuwa watu kipindi hicho walijiuliza wametokea wapi na jibu likawa ni kuna mungu? Na watu kama wamasai ambao hadi leo hawana idea hiyo unawazungumzia vp?

Soma historia ndugu Uhuru Jr ,mimi huwa sibahatishi haya mambo nadhani unanifahu vizuri tangu mwaka 2013 tumekutana katika mijadala hii.

Lazima ujue kwamba mungu alianza kuitwa mungu asiyeonekana!baada ya kabla ya hapo kuwa ni mungu anayeonekana.

Lazima ujue historia inakwambia nini kuhusu kuabudu.Na huwezi kujua haya yote kama unasoma kitabu kimoja tu Bible ama quran!Jaribu kusoma vitabu vingi ya historia vilivyoandikwa sambamba na bible na quran i mean miaka hiyo.

Karibu katika ulimwengu huru

...............Free ideas.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…